Brakelyn
JF-Expert Member
- Oct 6, 2009
- 1,181
- 517
Ninasikitika kuwatangazia ndugu zangu wa JamiiForums kuwa muda mfupi uliopita baba mzazi wa mheshimiwa Tundu Antipas Lissu Mughwai, Mheshimiwa Christina Lissu Mughwai, Mateo Lissu Mughwai, Alute Simon Lissu Mughwai, Rose Lissu Mughwai, Muro Lissu Mughwai, Vincent Lissu Mughwai na Mjengi Lissu Mughwai amefariki dunia muda mfupi uliopita. Marehemu Augostino Lissu Mughwai (84) amefariki katika hospitali ya taifa ya muhimbili alipokuwa amelazwa akisumbuliwa na maradhi ya moyo kwa muda mrefu. Mungu amlaze mahala pema peponi, Amina.