Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Jinga kabisa anapingwa Mungu magufuli ninani Sasa?Kuna pahala nimesema hivyo.
Lakini wewe ina maana uko tayari kupingana na lolote la Magufuri.?
Jinga kabisa anapingwa Mungu magufuli ninani Sasa?Kuna pahala nimesema hivyo.
Lakini wewe ina maana uko tayari kupingana na lolote la Magufuri.?
Nimecheka sana hii commentMI naamini hata akiagiza wake/wives wa hao hao watetezi wachapwe bakora kwa sababu hawana chura; amini usiamini, hao hao wataanza kuwasemanga wake zao "sasa waifu si umejitakia mwenyewe kutokuwa na chura"
Jibu alichaondikaSalary wewe ni wa kupuuza!!
Thinking yako imeshuka Sana!!
Na hata akisema Nusu ya Ufalme wake Apewe Mbowe bado atapata wapingaji tu!
Amelaaniwa mtu yule amtegemeae mwanadamuNa hata akisema Nusu ya Ufalme wake Apewe Mbowe bado atapata wapingaji tu!
Fala weweJinga kabisa anapingwa Mungu magufuli ninani Sasa?
Wewe wasemaKaandike vizuri jina la mungumtu wako
Wewe unazo.?Wewe huna akili, kama huwezi kujibu hoja kaa kimya.
Kuipokea sio shida, wa kuitumia sasa!!Wanaume duniani washamwambia ajiandae kupokea chanjo ya Covid 19. Alete fyoko aone kilichomnyima kuku mkojo.