Mzee mwenye nyumba hiyo afahamikae kwa jina la Mzee NYUMBA (kushoto) akitoa maelezo kwa waandishi wa habari waliofika katika eneo hilo la tukio jioni ya leo,juu ya nia yake ya kuwatoa wapangaji wake wote waliokuwepo kwenye nyumba yake hiyo kwa madai ya kutolipia kodi ya pango kwa kipindi cha miaka mitatu.
Kwa Upande wa Wapangaji wa Nyumba hiyo walieleza kwamba wao hawakukaa katika nyumba hiyo bila ya kulipa kodi,kwani kuna Mtu ambaye aliwapangisha (hawakumtaja jina) kuwa ndie aliekuwa akichukua Kodi zao kwa kipindi chote hicho,
HII HABAR INANIUMIZA KICHWA SANA
1. NASHINDWA KUELEWA,NYUMBA NI YA NANI?
2. JE NANI ALIWAPANGISHA HAWA WATU? NA NI KWA NINI HAWATAKI KUMTAJA?
3. KAMA NI KWELI,KWA NINI MAHAKAMA IMETOA KIBALI KWA HUYU MZEE??
HAYA NDO MAMBO YA MJINI,UKIZUBAA UNALIZWA!!!!!!!!!!!!
JARIBUNI KUUSOMA, LABDA MTAUELEWA MKASA HUU << MKASA NIMEUKUTA HAPA>>