Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,085
- 13,300
Waislam punguzeni kuchinjana shwain nyie alaaah ..mbav zenu!!!Wewe hauko Sawa hata kama unachuki za Uislamu hiyo yako ni wehu
Waislam punguzeni kuchinjana shwain nyie alaaah ..mbav zenu!!!Wewe hauko Sawa hata kama unachuki za Uislamu hiyo yako ni wehu
Yah nimetulia ili niendelee kuona level of stupidity that you hv.Tulia ww
Hii habari haijajitosheleza. Walijuaje kama ni baba wa mtoto ndio kahusika?! Kama hajakiri,nani alimuona kichakani akimchinja?!
Sent from my Infinix X650B using Tapatalk
MTOTO Bahati Mlelwa (3) amenusurika kifo baada ya baba yake mzazi kumjeruhi shingoni kwa kisu na kuutelekeza mwili wake kichakani.
Baba huyo, Halfan Mlelwa(28) mkazi wa kijiji cha Mnyagala katika wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi, anashikiliwa na Jeshi la Polisi Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Katavi, Benjamin Kuzaga amethibitisha unyama huu na kusema mtuhumiwa anahusishwa pia na mauaji mengine ya kutumia mapanga maeneo mengine.
Alisema tukio hilo lilifanywa juzi saa 11:00 jioni kijiji cha Mnyagala wilaya ya Tanganyika. Ambapo baba huyo alimtelekeza akijua ameua. Akisimulia alisema mtuhumiwa aliachana na mke wake akiwa na ujauzito wa mtoto Bahati.
‘’Jioni ya siku hiyo ya tukio mtuhumiwa alifika kwa mke wake wa zamani ambaye hakuwepo akamchukua mtoto Bahati na kutokomea naye kichakani jirani na nyumba aliyokuwa akiishi mtoto huyo na mama yake akamuue,”alieleza.
Mtuhumiwa akiwa na mwanawe kichakani alichomoa kisu kibindoni akaanza kumchinja na kuondoka akiamini amemchinja na kumuua.
Inadaiwa mama wa mtoto huyo aliporejea nyumbani hakumwona mwanaye hivyo akaanza kumtafuta na kumkuta akiwa amezimia huku mwili mzima ukiwa umetapakaa damu.
Kamanda Kuzaga alisema opereshini ya jeshi la polisi inayoendelea wilayani humo dhidi ya watuhumiwa wa mauaji na uhalifu mwingine ilifanikisha kumnasa mtuhumiwa huyo haraka.
Alisema haijafahamika chanzo cha baba huyo kumfanyia unyama huo mwanaye ambaye amelazwa katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Katavi iliyopo mjini Mpanda kwa matibabu.
CHANZO: HABARILEO
Wendawazimu kama ww hawataisha TanzaniaWenyewe mnaita sunna halafu mnapata thawabu
Yaani kamuacha mke akiwa na mimba,mwanamke amehangaika kutunza mimba mpaka akajifungua na kumtunza mtoto,Halafu huyu jamaa anarudi kuja kutaka kumwua tena??
Huyo afungwe maisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Anyongwe tuYaani kamuacha mke akiwa na mimba,mwanamke amehangaika kutunza mimba mpaka akajifungua na kumtunza mtoto,Halafu huyu jamaa anarudi kuja kutaka kumwua tena??
Huyo afungwe maisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Unauhakika hajakiri?Hii habari haijajitosheleza. Walijuaje kama ni baba wa mtoto ndio kahusika?! Kama hajakiri,nani alimuona kichakani akimchinja?!
Sent from my Infinix X650B using Tapatalk
Sio issue ya uislam ni issue ya roho ya mtu tuWaislam mna nn jaman
Kisheria upo sahihi. Mahakama ndio itaamuaHii habari haijajitosheleza. Walijuaje kama ni baba wa mtoto ndio kahusika?! Kama hajakiri,nani alimuona kichakani akimchinja?!
Sent from my Infinix X650B using Tapatalk
Speculation!Watu wa eneo hilo walimuona akimchukua huyo mtoto
Chanzo cha habari, Habari LeoHii habari haijajitosheleza. Walijuaje kama ni baba wa mtoto ndio kahusika?! Kama hajakiri,nani alimuona kichakani akimchinja?!
Sent from my Infinix X650B using Tapatalk
Wenyewe mnaita sunna halafu mnapata thawabu
Hivi mkuu unaielewa kashogi wanayolishwa wauwaji wa aina hiyo wakiwa mikononi mwa polisi?Hii habari haijajitosheleza. Walijuaje kama ni baba wa mtoto ndio kahusika?! Kama hajakiri,nani alimuona kichakani akimchinja?!
Sent from my Infinix X650B using Tapatalk
Toa ushahidiNdio,si unaona hao wanachinjana kisa mtume kasema