CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
Mu hali gani wana MMU???
Kuna Bi shost mmoja alipata nafasi ya kuchukua degree katika chuo kimoja Jijini Dar Es Salaam, basi bana Degree ikapata attachment ya ujauzito baadaye akajifungua mtoto wa kiume kabla ya ndoa. Mamake akafanya manuva ya kufa mtu mpaka binti akafunga ndoa ila ndoa imekuwa ndoanoooo!!!!!
Kabla ya kumaliza chuo binti alipata ujauzito.... Taarifa zote alipewa mama mtu, mama mtu kila mara anafunga safari kutoka Kigoma mpaka DSM kufuatilia hali ya mwanaye mjamzito bila baba mtu kushtukia issue nzima. Kila mara baba mtu alipouliza mbona binti yetu haji likizo, mama ake binti alikuwa akimtetea mara ooh yuko field, mara ooh kapata kazi temporary kwenye Kampuni flan atakuja tu.......
Mwisho wa siku binti akajifungua, baba huko Kigoma hana habari. Na vile aliishia vidatoni ndo kabisaaa hawezi kufatilia ratiba za chuo. Mama kafunga kibwebwe ataka aoneshwe mkaza mwanaye, binti huyooo kamuonesha mamaye kijana alompa mimba. Mama akamwambia bintiye kijana mwenyewe naona hana hata mpango wa kukuoa. Miezi yote tisa mpaka mtoto anakaribia kuanza kukaa mwanaume hana hata dalili ya kuoa.
Hapo mama na bintiye wanaumiza kichwa wapi wataficha aibu yao kwa Mzee, Mzee mwenyewe ni mnene wa Chama fulani hapo Kigoma. Basi akili mukichwa, mama akamshawishi bintiye waende kwa Mtaalamu wa kamati ya ufundi " Sangoma".... Salaaale!!!! Mtaalamu akafanya mambo mpaka kijana akalainika, mwisho wa siku akatangaza ndoa bana......
Kijana akafuata utaratibu kama kawa, ila siri ya mtoto ibaki kwa mama na binti. Bahati nzuri kijana naye alikuwa anatokea Kigoma, basi taratibu zote zikafanyika bila binti kwenda kwao ili issue ya mtoto isijulikane kwa Mzee.... Mahari ikapangwa na ikalipwa, vikao vya harusi na send off vikaanza pande zote mbili.
Na vile Mzee alikuwa mnene wa Chama Mjini hapo, alikusanya michango ya kufa mtu. JAMANI HAKUNA SIRI YA WATU WAWILI DUNIANI AISEEE...... Sijui kilitokea wapi kidudumtu kisichopenda mafanikio ya wenzao.... "Hayo ni malalamiko ya binti baada ya mkasa mzima" Si kikaenda kumtonya mnene..... Bintiyo alishabeba mimba na kujifungua mtoto wa kiume na hata kuishi tayari anaishi na huyo mumewe mtarajiwa!!!
Mnene alifyum yaan ilikuwa balaa nusura ya mkosi, ugomvi ukamuendea mama mtu. Mzee kuunganisha dots ndo akagundua chanzo cha safari za mara kwa mara za mkewe kwenda Dar Es Salaam. Ndani hakukaliki, mama keshatukanwa kila aina ya matusi. Ila MMAZA BANDIDU kweli alikana kujua ujauzito wa mwanaye ila mwisho wa siku mnene alipokaribia kumuUFOO SARO mama alikiri kila kitu....
Mzee akamwambia kama unataka nikusamehe naomba urudishe michango ya kila mtu aliyechanga katika maandalizi ya send off. Dah...... Bonge la aibu!!!!!!!! ili kunusuru maisha yake ilibidi afiate maelekezo aisee. Kila shilingi ilirudi kwa mwenyewe kama ilivyochangwa na sherehe ya send off ikaishia hewani....
Dah... Usingizi unanilemea kesho.nitamalizia upande wa binti na upande wa kijana!!
Stay tuned......
Kuna Bi shost mmoja alipata nafasi ya kuchukua degree katika chuo kimoja Jijini Dar Es Salaam, basi bana Degree ikapata attachment ya ujauzito baadaye akajifungua mtoto wa kiume kabla ya ndoa. Mamake akafanya manuva ya kufa mtu mpaka binti akafunga ndoa ila ndoa imekuwa ndoanoooo!!!!!
Kabla ya kumaliza chuo binti alipata ujauzito.... Taarifa zote alipewa mama mtu, mama mtu kila mara anafunga safari kutoka Kigoma mpaka DSM kufuatilia hali ya mwanaye mjamzito bila baba mtu kushtukia issue nzima. Kila mara baba mtu alipouliza mbona binti yetu haji likizo, mama ake binti alikuwa akimtetea mara ooh yuko field, mara ooh kapata kazi temporary kwenye Kampuni flan atakuja tu.......
Mwisho wa siku binti akajifungua, baba huko Kigoma hana habari. Na vile aliishia vidatoni ndo kabisaaa hawezi kufatilia ratiba za chuo. Mama kafunga kibwebwe ataka aoneshwe mkaza mwanaye, binti huyooo kamuonesha mamaye kijana alompa mimba. Mama akamwambia bintiye kijana mwenyewe naona hana hata mpango wa kukuoa. Miezi yote tisa mpaka mtoto anakaribia kuanza kukaa mwanaume hana hata dalili ya kuoa.
Hapo mama na bintiye wanaumiza kichwa wapi wataficha aibu yao kwa Mzee, Mzee mwenyewe ni mnene wa Chama fulani hapo Kigoma. Basi akili mukichwa, mama akamshawishi bintiye waende kwa Mtaalamu wa kamati ya ufundi " Sangoma".... Salaaale!!!! Mtaalamu akafanya mambo mpaka kijana akalainika, mwisho wa siku akatangaza ndoa bana......
Kijana akafuata utaratibu kama kawa, ila siri ya mtoto ibaki kwa mama na binti. Bahati nzuri kijana naye alikuwa anatokea Kigoma, basi taratibu zote zikafanyika bila binti kwenda kwao ili issue ya mtoto isijulikane kwa Mzee.... Mahari ikapangwa na ikalipwa, vikao vya harusi na send off vikaanza pande zote mbili.
Na vile Mzee alikuwa mnene wa Chama Mjini hapo, alikusanya michango ya kufa mtu. JAMANI HAKUNA SIRI YA WATU WAWILI DUNIANI AISEEE...... Sijui kilitokea wapi kidudumtu kisichopenda mafanikio ya wenzao.... "Hayo ni malalamiko ya binti baada ya mkasa mzima" Si kikaenda kumtonya mnene..... Bintiyo alishabeba mimba na kujifungua mtoto wa kiume na hata kuishi tayari anaishi na huyo mumewe mtarajiwa!!!
Mnene alifyum yaan ilikuwa balaa nusura ya mkosi, ugomvi ukamuendea mama mtu. Mzee kuunganisha dots ndo akagundua chanzo cha safari za mara kwa mara za mkewe kwenda Dar Es Salaam. Ndani hakukaliki, mama keshatukanwa kila aina ya matusi. Ila MMAZA BANDIDU kweli alikana kujua ujauzito wa mwanaye ila mwisho wa siku mnene alipokaribia kumuUFOO SARO mama alikiri kila kitu....
Mzee akamwambia kama unataka nikusamehe naomba urudishe michango ya kila mtu aliyechanga katika maandalizi ya send off. Dah...... Bonge la aibu!!!!!!!! ili kunusuru maisha yake ilibidi afiate maelekezo aisee. Kila shilingi ilirudi kwa mwenyewe kama ilivyochangwa na sherehe ya send off ikaishia hewani....
Dah... Usingizi unanilemea kesho.nitamalizia upande wa binti na upande wa kijana!!
Stay tuned......