Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh hebu tupe hayo mautundu, usisahau kapichaMorning jf.
Baada ya kuona mateso niliyokuwa napewa na mke siku za nyuma akanipa akili.
Baaada ya kutekeleza aliyoniambia nyumba imetulia cha ajabu sijatumia gharama yoyote kweli ukubwa DAWA asante baba yangu
Share with us the experience you got from you dady till it went fine with your marriage.... Wanaume huwa hatunyimani mbinu.. Karibu mkuu.Morning jf.
Baada ya kuona mateso niliyokuwa napewa na mke siku za nyuma akanipa akili.
Baaada ya kutekeleza aliyoniambia nyumba imetulia cha ajabu sijatumia gharama yoyote kweli ukubwa DAWA asante baba yangu
Akiwajibu mnitag na mieShare with us the experience you got from you dady till it went fine with your marriage.... Wanaume huwa hatunyimani mbinu.. Karibu mkuu.
Ukiyaandika unijulishe kiongozi maana natarajia kuingia ndoani mwaka huu au mapema mwakani.Nashindwa kuyaandika hapa kwasababu maneno ni mazito nashindwa tafsida gani niitumie kuelezea
Sasa kama unashindwa kuyaandika apa ulianzisha uzi wa nn....c unge baki nayo..Nashindwa kuyaandika hapa kwasababu maneno ni mazito nashindwa tafsida gani niitumie kuelezea
Sasa kama unashindwa kuyaandika apa ulianzisha uzi wa nn....c unge baki nayo..