Juzi kuna gazeti moja nimesoma kwamba watu wenye hiv huko Nigeria wanalazimishwa kuoana ili ongezeko la ukimwi lipungue.
Kwanza ni jambo lakushangaza na kusikitisha kwamba watu wanalazimishwa kuoana, ila najiuliza je hao watu wana uwezo wa kuzaa watoto ambao hawana HIV?
Kwanza ni jambo lakushangaza na kusikitisha kwamba watu wanalazimishwa kuoana, ila najiuliza je hao watu wana uwezo wa kuzaa watoto ambao hawana HIV?