Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uharibifu wa Mtu hauhusiani na Kanisa sababu kanisa ni taasisi na Gwajima ni binadamu mwenye mapungufu kama sisi. Hivyo kanisa inabaki kua kanisa tu
Nimeona video yake, hakika huyu mpigaji kazingua.
Nataka niwaonyeshe waumini wake vindaki ndaki nione wanasemaje
Hebu tuma pm mkuu nihakikishe nahisi kama anasingiziwaNimeona video yake, hakika huyu mpigaji kazingua.
Nataka niwaonyeshe waumini wake vindaki ndaki nione wanasemaje
Unaweza nitumia hiyo videoNimeona video yake, hakika huyu mpigaji kazingua.
Nataka niwaonyeshe waumini wake vindaki ndaki nione wanasemaje
Hayo mapungufu ya kibinadamu kisiwe kichaka cha kuficha mambo mabaya ya 'Ngwajima'. Eti si mnasemaga ukisha okoka umeokoka huwezi kutenda dhambi? Aliyempa mamlaka ya kuanzisha kanisa ni nani?Uharibifu wa Mtu hauhusiani na Kanisa sababu kanisa ni taasisi na Gwajima ni binadamu mwenye mapungufu kama sisi. Hivyo kanisa inabaki kua kanisa tu
Naomba unitumie plz! Kama unayoNimeona video yake, hakika huyu mpigaji kazingua.
Nataka niwaonyeshe waumini wake vindaki ndaki nione wanasemaje
Mkuu naiombaNaomba unitumie plz! Kama unayo
Mkuu naiomba
Naomba unitumie mkuuLeo insta haijajafuka sana naona wambea wengi bado wanaomboleza na wengine wako kwenye Mfungo,
Baba Askofu gwaj ashukuru sana huu msiba wa taifa na hii Ramadhani la sivyo........!
Cc Zero iQ