Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,530
- 217,791
Huyu ni miongoni mwa Maaskofu wasio na unafiki wowote , hajawahi kuogopa kusema ukweli , hayumo miongoni mwa wanafiki na ni mwenye karama hasa ya Mungu , Waliojaribu kumgusa wote wamepukutika mithili ya majani ya Mkuyu wakati wa kiangazi , kama unabisha jaribu kumuuliza Lazaro Mambosasa .
Sasa watu wa aina hii ya Askofu Mwamakula ndio wanaostahili kumuenzi Maalim Seif , Maana alikuwa Mtu wa aina yao , Wanafiki wengine wote wajitenge na hili .
Sasa watu wa aina hii ya Askofu Mwamakula ndio wanaostahili kumuenzi Maalim Seif , Maana alikuwa Mtu wa aina yao , Wanafiki wengine wote wajitenge na hili .