samweli wa pili
JF-Expert Member
- Mar 21, 2018
- 400
- 272
Mwishowe mpaka baba amalize hizo nyumba mtakuwa mmekufa kwa udumavu. Muombeeni baba yenu.
hapo mama inabidi acheze na kufunga hat trick bila hivyo dakika 90 itakuwa bila.Habari wadau,
Baba ni muda mrefu tangu aoe kwa hiari yake amekuwa akifanya mabadiliko ya maendeleo ya vitu na si kwa sisi wanafamilia.
Watoto hatuli milo ya kueleweka maisha magumu ila kila siku ni ujenzi wa nyumba na matumizi ya kujifaharisha.
Sasa tunadaiwa deni kubwa bila kujua tutalilipaje juu ya matumizi haya.
Tatizo kubwa ni baba kutaka pongezi za lazima kwa majukumu ambayo ni lazima afanye pale nyumbani.
Tumsaidieje baba yangu?
Jisaidie mwenyewe , huwezi kumlalamikia mzazi wako kwa maendeleo anayoyafanya huku ukililia chakula wakati una akili ya kutumia JF na kuweka bando ,, maisha yako yatakuwa ya ajabu kuliko unavyofikiri , naombea mzee wako akaze Uzi mpaka utakapopata akili
Povu. Elewa vizuri contents.Uliona wapi mjenga nyumba akalala na njaa !? Acha ubwege !
Hii ni roho mbaya tuBaba anajua kua hamuwezi kufa na njaa kwasababu kwanza ardhi ya kutosha ya kulima ipo na watoto mtaitumia ipasavyo kuzalisha mahitaji ya nyumbani na hata ziada
Anachokifanya ni hivi, huko unakosema anapeleka rasilimali za familia ili kuleta maendeleo ni kwamba anakutayarishieni nyie watoto wake, wajukuu zake ambao ni watoto wenu nyie, vitukuu na vilembwe urithi wa kudumu
Ashauriki. Alisema familia aliipata yeye mwenyewe bila ya kusaidiwa. Kuhusu utendaji wake, kasema tusijusumbue maana hata malaika wanamkubali na ataweza siku kupewa chance ya kuongoza malaika .Mwishowe mpaka baba amalize hizo nyumba mtakuwa mmekufa kwa udumavu. Muombeeni baba yenu.
Amepeleka na banda la sport pesaHalafu huyu baba ana nyumba zake mbili moja ipo kijijini alipotoka nyingine hii ya hapa mjini anapoishi. Hizi nyumba anazipendelea sana yaani kila siku anaziboresha, imagine ile nyumba ya kijijini hata wapenzi wa mpira hakuna lkn amefunga dstv!?
Nafanya mambo ya msingi kwanza baadaye mtaishi kama wafalme wanangu ,,,,lakini mkiona vipi kufeni tuuHabari wadau,
Baba ni muda mrefu tangu aoe kwa hiari yake amekuwa akifanya mabadiliko ya maendeleo ya vitu na si kwa sisi wanafamilia.
Watoto hatuli milo ya kueleweka maisha magumu ila kila siku ni ujenzi wa nyumba na matumizi ya kujifaharisha.
Sasa tunadaiwa deni kubwa bila kujua tutalilipaje juu ya matumizi haya.
Tatizo kubwa ni baba kutaka pongezi za lazima kwa majukumu ambayo ni lazima afanye pale nyumbani.
Tumsaidieje baba yangu?
Mkuu ...mababu wamekaa kimya asee. Walijaribu jaribu kukemea wakaambiwa wana washwawashwaKwani babu zako wanasemaje?
Au pia hao hawasikilizi?
Ndio maana waafrika tupo nyuma kimaendeleo maana hatufikirii zaidi ya miaka ishiriniHii ni roho mbaya tu
Yani wewe uishi kama mateka ili vitukuu usivovujua vije kula bata?
HahahahMdai urithi wako ukafie mbele
Yale ni maneno. Usichanganye herufi na manenoKwanza si maneno matano rekebisha.
Kingine basi asilazimishe kupongezwa kwa mambo ambayo ni wajibu wake.
Mzee baba naona ni mbishi. Rudi darasani ndo ubishe.Yale ni maneno. Usichanganye herufi na maneno
Halafu huyu baba ana nyumba zake mbili moja ipo kijijini alipotoka nyingine hii ya hapa mjini anapoishi. Hizi nyumba anazipendelea sana yaani kila siku anaziboresha, imagine ile nyumba ya kijijini hata wapenzi wa mpira hakuna lkn amefunga dstv!?
Muda niliopoteza darasani ningeamua kulima ningekua mbaliMzee baba naona ni mbishi. Rudi darasani ndo ubishe.