platyhelminthesis
Member
- Jun 5, 2019
- 43
- 61
Habari wadau,
Baba ni muda mrefu tangu aoe kwa hiari yake amekuwa akifanya mabadiliko ya maendeleo ya vitu na si kwa sisi wanafamilia.
Watoto hatuli milo ya kueleweka maisha magumu ila kila siku ni ujenzi wa nyumba na matumizi ya kujifaharisha.
Sasa tunadaiwa deni kubwa bila kujua tutalilipaje juu ya matumizi haya.
Tatizo kubwa ni baba kutaka pongezi za lazima kwa majukumu ambayo ni lazima afanye pale nyumbani.
Tumsaidieje baba yangu?
Baba ni muda mrefu tangu aoe kwa hiari yake amekuwa akifanya mabadiliko ya maendeleo ya vitu na si kwa sisi wanafamilia.
Watoto hatuli milo ya kueleweka maisha magumu ila kila siku ni ujenzi wa nyumba na matumizi ya kujifaharisha.
Sasa tunadaiwa deni kubwa bila kujua tutalilipaje juu ya matumizi haya.
Tatizo kubwa ni baba kutaka pongezi za lazima kwa majukumu ambayo ni lazima afanye pale nyumbani.
Tumsaidieje baba yangu?