Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
Baadhi ya wenyeji wa Dar wamebaki kupiga mdomo na kuwaponda vijana wachapa kazi waliotoka mikoani kuja kwa lengo moja tu, KUTAFUTA MAISHA.
Kauli zao baadhi ya wazaliwa wa dar:
- Huyu jamaa pamoja na kwamba ana vihela hela lakini bado ana kaushamba fulani hivi ka mkoani.
- Kuendesha gari kwenyewe amejifunzia ukubwani.
- anajifanya na yeye ana hela anatutimulia vumbi na kigari chake
- Anakula mademu wakali kwa sababu wanamuona fala
- Kigari chenyewe ameshikishwa kwa sababu ya ushamba wake
Kauli zao baadhi ya wazaliwa wa dar:
- Huyu jamaa pamoja na kwamba ana vihela hela lakini bado ana kaushamba fulani hivi ka mkoani.
- Kuendesha gari kwenyewe amejifunzia ukubwani.
- anajifanya na yeye ana hela anatutimulia vumbi na kigari chake
- Anakula mademu wakali kwa sababu wanamuona fala
- Kigari chenyewe ameshikishwa kwa sababu ya ushamba wake