Yonjolo
Member
- Jan 19, 2012
- 79
- 6
Haki ya mungu 2shachoka na kejeli zenu ndugu zetu nyinyi
Nani ndugu yako?
Haki ya mungu 2shachoka na kejeli zenu ndugu zetu nyinyi
Mesej ambayo nimeletewa sasa hivi na
inaelekea inasambazwa inasema hivi:
TWENDENI kwa wingi kike kwa kiume
kesho Jumatatu na saa mbili asubuhi
tuwe tumeshakaa nje ya Ukumbi wa
Baraza la Wawakilishi, Chukwani ili kuonyesha Ulimwengu kuwa
Wazanzbari hatukubaliani na azma ya
Tanganyika na Shamhuna kuiondoa
nchi yetu Zanzibar kwenye ramani ya
dunia. Shime tufike kwa wingi na
utulivu. Sisi sote tuna uchungu kwa ndugu zetu walopotea kwa
kugombania nchi yetu . Source: Ally Saleh Facebook
hivi we MS si ni mkeleketwa wa CUF wewe? Unakumbuka wawakilishi wa chama chako walisemaje kipindi Lisu anazungumzia kuhusu huu muungano? Au ndo yale ya ujanja mwingi mbele kiza.
...
.... hatukubaliani na azma ya
Tanganyika na Shamhuna kuiondoa
nchi yetu Zanzibar kwenye ramani ya
dunia....…." Source: Ally Saleh Facebook
Baada ya gogoro la CUF/CCM kutulia kwa Maalim kupewa umakamu sasa wanatafuta wapi wafanye migogoro
Kwao kukaa bila gogoro hawajaridhika.
Mwl Nyerere was right, hata wakivunja Muungano lazima Pemb/Znz zivunjike make bila migogoro na kupigana hawaoni kama wanaishi.
Kazi kweli kuishi na watu kama hawa. Na wanasiasa hawana cha maana cha kuwambia zaidi ya kuanzisha zogo tu.
Hivi mtastarabika lini nyie
Wanaacha kwenda kufanya shughuli za kuijenga nchi yao 'zanzibar' wanapenda kuandamana. Huu muungano uvunjike tu wanalelewa kama watoto lakini hawakui wanabakia kuwa watoto. Mleta habari ni hivi muungano hata sisi hatuutaki
Realznzrian na Wana JF,
Wosia ni kitu muhimu sana, Tumkumbuke Mwalimu Nyerere ametuasa sana kuhusu huu Ufa wa Muungano, Sisi Watanganyika na Wao Wazanzibar, Nao Wazanzibar wakishajitenga hawatakaa salama, Wataanza tena nao Sisi Wapemba na wao ni Wazanzibar.
My Take: Hili jambo ni BUSARA na HEKIMA zitumike maana hii dhambi itatutafuna wote, Tuzibe huu UFA, kabla ya maafa
Nawakilisha
Shamhuna mbara? Anatoka mkoa gani wa TGY?
hapa sio Dunia. hapa tanganyika na ZANZ
Na turejeshe Ujamaa basi ili wosia usipotee. Hili la Zanzibar sisi tunao wosia kutoka kwa Baba wa Taifa la Zanzibar Karume " Muungano ni kama koti likikubana unalivua". Basi kikoti hichi tulichshonewa tangu tulipoanza kutembea kinatiwa viraka tu badala ya kushona jipya kwa mujibu wa ukuaji wetu?
Ngekewa na Wana JF,
Kikubwa hapa ni kuziba huu UFA, maana kila mtu akivutia upande wake, ndiyo kila mtu anakuja na kauli zake
Ni kujenga ukuta mwengine, ila tuamuwe ukuta huo tunataka uweje!
zanzibar inawezekana si nchi kwa mujibu wa wanasiasa uchwara wa ccm huku kwetu wanavyotudanganya.
Ila zanzibara wana katiba yao ya nchi; na serikali ya jamhuri ya muungano inaitambua katiba ya zanzibar.
Nafikiri sisi tanganyika ndio hatuna nchi; kwasababu jamhuri ya muungano wa tanzania (hili jina lisome vizuri upate kuelewa) ni mamlaka ya utawala/aina ya utawala (ni tofauti na kuwa na monarch system, nk)
kwahiyo jamhuri maana yake ni mfumo wa utawala wa kisiasa; sio maana yake nchi. Kwahivyo jamhuri ya muungano wa tanzania ni mamlaka ya utawala ambayo inaongoza nchi ya t......... (tanganyika, naogopa kuitaja maana yake haipo imefutwa na nyerere/bunge la tanganyika) na nchi ya zanzibar ambayo imepreserve jina lake.
Kwa hio ccm watwambie nchi yetu iko wapi.
Passport ni citizenship tu; haimaanishi kuwa ni nchi; ireland/scotland wanatumia passport ya uk; jee wao so nchi;
ccm wameuza nchi yetu.:spy: