Baadhi ya Wazanzibari Wapinga Muungano wadai kura ya maoni kuhusu Muungano

Watanzania tumechoka na muungano wa viongozi kwa gharama za watanzania, tikipata upenyo tunauondoa, Muungano huu niw awa kikwete na baadhi ya wazanzibar
 
Too late.... tuliyasema haya zamaaaani!

Ukifanya mchakato wa kuandika Katiba Jamhuri ya Muungano wa Tanzania maana yake tayari umeshapitisha Muungano!

Too late bandugu. Ila kitu kimoja siku zote nitawapigia saluti Wazanzibar pamoja na udogo wa kanchi kao ni kwamba Mzanzibar wa kawaida ana mwamko wa kisiasa na uelewa mkubwa wa public affairs kuliko M-Bara. Sasa ndio kwanza watu wanaanza kushtuka na chicanery ya Katiba mpya. Tumechelewa.
 
Too late.... tuliyasema haya zamaaaani!

Ukifanya mchakato wa kuandika Katiba Jamhuri ya Muungano wa Tanzania maana yake tayari umeshapitisha Muungano!

Too late bandugu. Ila kitu kimoja siku zote nitawapigia saluti Wazanzibar pamoja na udogo wa kanchi kao ni kwamba Mzanzibar wa kawaida ana mwamko wa kisiasa na uelewa mkubwa wa public affairs kuliko M-Bara. Sasa ndio kwanza watu wanaanza kushtuka na chicanery ya Katiba mpya. Tumechelewa.

Hakika......maana kama wanandoa hawalali kitanda kimoja hata kama talaka haijatolewa ndoa haipo
 
Waishie zao huko watuondolee kiwingu... watu millioni 1 wametoa wajumbe 15 kwenye tume ya katiba... watu millioni 42 wametoa watu 15 kwenye tume??? Huu muungano kiinimacho?? hiyo kura na ije tuuvunjilie mbali tuone nani ataumia.

halafu mkuu sisi tuko kimya wao pamoja na yote hayo hawridhiki tu.
Kwanini na sisi tusikomae?
 
Watanzania tumechoka na muungano wa viongozi kwa gharama za watanzania, tikipata upenyo tunauondoa, Muungano huu niw awa kikwete na baadhi ya wazanzibar

mkuu kwa hiyo dhambi hiyo aliyoisema Nyerere wataibeba nani? Wabara au wazenji?
 
Ahahahaa!! Hesabu zenu chache sana mliokua na chuki na zanzibar! Wengine bila ya kufikiria eti wanauliza mchele, nyanya vitunguu maji tutavipata wapi? Na mie naomba nijibiwe, hivo vitu vinakuja bure uku visiwani? Kama vinanunuliwa basi tutanunua kama kawaida, au mtagoma kutuuzia? Na bado tutanunua nje hatushindwi!

Wengine hesabu zao za tsunami hazina akili kama wao wenyewe, tsunami ilotokea Sri lanka miaka ileee ilileta effect zanzibar pakawa na mtetemeko wa ardhi wa sekunde chache na kuchafuka kwa bahari na kufanya safari za baharini haswa za pemba kusimamishwa, tsunami ya leo hakuna habari ya lolote ile mpaka sasa ivi, kisha hiyo tsunami mpaka sasa haijaharibu chochote apo indonesia ilipotokea itakuja kuzamisha zanzibar?

Dah, humu jamvini kuna watu wavivu wa kufikiri! Vile vile kuna wengine wanasema kuwa zanzibar itapata hasara, nafikiri mungekuwa mnaijua historia ya zanzibar kabla ya muungano msingesema, zanzibar ilikua inazisaidia nchi za nje kama hamujui, huyo mwarabu oman alikua anasaidiwa na znz!

Wengine wanasema kuwa wapemba wamejaa bara wanafanya biashara kwaiyo wataingia hasara, kasema nani? Hivi china na tz wana muungano?Mbona wachina wamejaa tele Tz wanafanya biashara zao? Kama walivo wachina basi ndivyo wapemba watakavoendelea kufanya biashara zao!
 
Good Move, sijui kwanini hili halijafanyika mpaka leo..., yes kura ya maoni ipite na sio zanzibar tu na huku bara pia
 
Mungu ameibariki tanganyika kwa migodi, lakini maendeleo mpaka sasa hamna! Na hamtoendelea kamwe nyinyi!
 
mi nadhan kuna kila sababu ya kuwapa nafasi ya kujadili kama wanauhtaji muungano au hawauhitaji...ili tusije tukavurugana tena baada ya kupitishwa kwa katiba mpya!!!!
 
Huko Zanzibar Tanzania, kundi la watu walikusanyika leo (11.04.2012) katika viwanja vya baraza la wawakilishi wakidai kuitishwa kura ya maoni kuhusu suala la Muungano kati ya iliyokuwa Tanganyika na Zanzibar 1964 na kuundwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliopo hii leo. Mohamed Abdul-rahman alizungumza na Rashid Hadi anayedaiwa kuwa kiongozi wa kikundi hicho na kwanza anaelezea sababu za kukusanyika kwao.


source:Kundi la wanaharakati Zanzibar ladai kura ya Maoni kuhusu Muungano | Matukio ya Afrika | DW.DE | 11.04.2012
 
Kwa nini WADANGANYIKA Mnang'ang'ania muungano?
Na tutauvunja huu muungano, kisha tutawafukuza wadanganyika woote zanzibar.
Asante JK, umetupa nafasi muhimu sana na hatutaitumia vibaya.
FUKUZA WABARA WOTE ZANZIBAR, hatutaki mafisadi huku!
 
Kwa nini WADANGANYIKA Mnang'ang'ania muungano?
Na tutauvunja huu muungano, kisha tutawafukuza wadanganyika woote zanzibar.
Asante JK, umetupa nafasi muhimu sana na hatutaitumia vibaya.
FUKUZA WABARA WOTE ZANZIBAR, hatutaki mafisadi huku!

hao wazenj wanang'ang'ania nin huku?mwambie Bilal aje aendeleze mirad ya nyuklia huko,na megji je hakuchakachua pesa ze2?mapuri je?
Nahodha?acha uzandik
 
MOD, mpo wapi jamani member tunasemwa vibaya? mpeni BAN huyu katumia lugha ya maudhi jukwaani!


Umejisajiri juzi halafu unataka Mod awape watu ban!! Jifunze kwanza kinachoendelea humu kabla ya kuropokaropoka........!! Mod umefanya vizuri kuwalazimisha watu kusajili.............!! Walizowea kusoma bila kuchangia, sasa tunaona upeo wao uko wapi!!
 
Back
Top Bottom