Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,942
- 103,284
Mtaelewa tu kuwa siasa za kutukana na kuleta fujo kwa awamu ya tano hazikubaliki.hakuna anayeonewa ila Kila mmoja atapa haki yake.Vyama vya siasa lazima vijue kuwa Kuna Serikali iliyopatikana kwa chama na inatekeleza ilani yake kwa mujibu wa Sheria.
Sasa unapopata mrejesho wa unachofanya unalialia nini?