Baadhi ya Watanzania wanafurahia Sana Serikali ya Tanzania inapopatwa na shida

MLAU

JF-Expert Member
Aug 23, 2007
4,726
3,354
Kumekuwa na Kama desturi Fulani hivi kwa baadhi ya watz pale linapotokea baya lolote lile kwa Serikali yetu ya Tanzania wao Kama vile ni sherehe kwao.

Serikali yetu imekuwa inafanya kazi nyingi na kufanya maamuzi magumu Sana kuhusu namna ya kufufua uchumi wa nchi yetu lakini na kujenga miradi mikubwa ya kimkakati ili kurahisisha huduma zingine kupatikani kwa urahisi.

Inapotokea Jambo lolote limetokea baya kwa Serikali yetu na wewe Kama mtanzania wa ndani au nje ya nchi inalifurahia basi wewe ni msaliti Kama msaliti mwingine yoyote Yule na hutufai.

Tunatakiwa kuwa pamoja na Serikali na kuunga mkono miradi inayofanywa na Serikali.

Kwa yoyote anayefurahia mabaya yanayotupa basi huyo hafai kabisa kuwa timu mmoja katika kuendeleza nchi yetu.
 
Naomba unijumuishe humo pia,maana serikali yangu pia yafurahi mie pia navyo ishi kama digidigi ajira hakuna, nyenzo mbovu hata ukijiajili koo hii ni piga nkupige. ntaendelea furahia sdi pale itakapo acha furahia navyo umia pia

NB: Mungu ibariki yanga ifuzu hatua ya 2
 
Kumekuwa na Kama desturi Fulani hivi kwa baadhi ya watz pale linapotokea baya lolote lile kwa Serikali yetu ya Tanzania wao Kama vile ni sherehe kwao.

Serikali yetu imekuwa inafanya kazi nyingi na kufanya maamuzi magumu Sana kuhusu namna ya kufufua uchumi wa nchi yetu lakini na kujenga miradi mikubwa ya kimkakati ili kurahisisha huduma zingine kupatikani kwa urahisi.

Inapotokea Jambo lolote limetokea baya kwa Serikali yetu na wewe Kama mtanzania wa ndani au nje ya nchi inalifurahia basi wewe ni msaliti Kama msaliti mwingine yoyote Yule na hutufai.

Tunatakiwa kuwa pamoja na Serikali na kuunga mkono miradi inayofanywa na Serikali.

Kwa yoyote anayefurahia mabaya yanayotupa basi huyo hafai kabisa kuwa timu mmoja katika kuendeleza nchi yetu.
Uko sahihi kabisa. Usaliti huo unahitaji kushughulikiwa sawa na usaliti mwingine wo wote.
 
Naomba unijumuishe humo pia,maana serikali yangu pia yafurahi mie pia navyo ishi kama digidigi ajira hakuna, nyenzo mbovu hata ukijiajili koo hii ni piga nkupige. ntaendelea furahia sdi pale itakapo acha furahia navyo umia pia

NB: Mungu ibariki yanga ifuzu hatua ya 2
Tunaongoza Bado dk 5 tuombe aiseee
 
Naomba unijumuishe humo pia,maana serikali yangu pia yafurahi mie pia navyo ishi kama digidigi ajira hakuna, nyenzo mbovu hata ukijiajili koo hii ni piga nkupige. ntaendelea furahia sdi pale itakapo acha furahia navyo umia pia

NB: Mungu ibariki yanga ifuzu hatua ya 2
Kama ni Kweli umemtaja Mungu wa Kweli basi hafurahiii hiyo comment yako iangalie kwa Makini utagundua kitu Mungu wa kweli hapendi tuwe na visasi,visasi hulipa yeye tu
 
Kumekuwa na Kama desturi Fulani hivi kwa baadhi ya watz pale linapotokea baya lolote lile kwa Serikali yetu ya Tanzania wao Kama vile ni sherehe kwao.
Serikali yetu imekuwa inafanya kazi nyingi na kufanya maamuzi magumu Sana kuhusu namna ya kufufua uchumi wa nchi yetu lakini na kujenga miradi mikubwa ya kimkakati ili kurahisisha huduma zingine kupatikani kwa urahisi.
Inapotokea Jambo lolote limetokea baya kwa Serikali yetu na wewe Kama mtanzania wa ndani au nje ya nchi inalifurahia basi wewe ni msaliti Kama msaliti mwingine yoyote Yule na hutufai.
Tunatakiwa kuwa pamoja na Serikali na kuunga mkono miradi inayofanywa na Serikali.
Kwa yoyote anayefurahia mabaya yanayotupa basi huyo hafai kabisa kuwa timu mmoja katika kuendeleza nchi yetu.
Kuichukia si utashi, ni uamuzi kwa yanayo mkuta mtendewa. Hapo zao ni uadui na kamwe huwezi mwombea adui yako mazuri.
 
Kama ungekuwa na busara ungejiuliza kwanza kwa nn watu wanaichukia serikali yao. Ungetoa sababu then ndio uanze kulaumu. Otherwise you saying empty words. What if serikali haitaki kusikia maoni ya wananchi wake? Waendelee kuichekea kisa tu ni serikali?
 
Kumekuwa na Kama desturi Fulani hivi kwa baadhi ya watz pale linapotokea baya lolote lile kwa Serikali yetu ya Tanzania wao Kama vile ni sherehe kwao.

Serikali yetu imekuwa inafanya kazi nyingi na kufanya maamuzi magumu Sana kuhusu namna ya kufufua uchumi wa nchi yetu lakini na kujenga miradi mikubwa ya kimkakati ili kurahisisha huduma zingine kupatikani kwa urahisi.

Inapotokea Jambo lolote limetokea baya kwa Serikali yetu na wewe Kama mtanzania wa ndani au nje ya nchi inalifurahia basi wewe ni msaliti Kama msaliti mwingine yoyote Yule na hutufai.

Tunatakiwa kuwa pamoja na Serikali na kuunga mkono miradi inayofanywa na Serikali.

Kwa yoyote anayefurahia mabaya yanayotupa basi huyo hafai kabisa kuwa timu mmoja katika kuendeleza nchi yetu.


Endapo kama kweli watu hao wapo, je, umeshawahi kujiuliza wewe mwenyewe kwenye nafsi yako 'hivi ni kwa nini watu hao wanafurahia' pale Serikali inapokumbana na matatizo? Umeshawahi kujiuliza swali hili?

TAFAKURI: Ukimuona mtoto yeyote yule anakuwa na furaha kubwa wakati ambao baba yake mzazi au mama yake mzazi akiwa amekumbwa na janga kubwa na baya sana kama vile kuumwa na nyoka au kupata ajali na kukatika miguu yote miwili, then UNATAKIWA KUTAFAKARI KWA KINA SANA NA KWA UMAKINI MKUBWA SANA. Unatakiwa kutafititi na ujiulize ",HIVI NI KWA NINI HUYU MTOTO ANAFURAHIA MAJANGA YALIYOMKUMBA MZAZI WAKE".
Baada ya tafakuri, mwishowe utapata majibu sahihi.
 
Kumekuwa na Kama desturi Fulani hivi kwa baadhi ya watz pale linapotokea baya lolote lile kwa Serikali yetu ya Tanzania wao Kama vile ni sherehe kwao.

Serikali yetu imekuwa inafanya kazi nyingi na kufanya maamuzi magumu Sana kuhusu namna ya kufufua uchumi wa nchi yetu lakini na kujenga miradi mikubwa ya kimkakati ili kurahisisha huduma zingine kupatikani kwa urahisi.

Inapotokea Jambo lolote limetokea baya kwa Serikali yetu na wewe Kama mtanzania wa ndani au nje ya nchi inalifurahia basi wewe ni msaliti Kama msaliti mwingine yoyote Yule na hutufai.

Tunatakiwa kuwa pamoja na Serikali na kuunga mkono miradi inayofanywa na Serikali.

Kwa yoyote anayefurahia mabaya yanayotupa basi huyo hafai kabisa kuwa timu mmoja katika kuendeleza nchi yetu.
Hata mimi nafurahia sana kila naposikia serikali hii ya kishetani imepata matatizo.
Nitafurahia zaidi endapo viongozi wote wa serikali akiwemo na Baba lao wakipanda ndege moja kisha ipotee kabisa Kama ile ya Malaysia.
Wewe unayehuzunika hawa mashetani kutaabika jinyonge ili upate amani.
 
Hata mimi nafurahia sana kila naposikia serikali hii ya kishetani imepata matatizo.
Nitafurahia zaidi endapo viongozi wote wa serikali akiwemo na Baba lao wakipanda ndege moja kisha ipotee kabisa Kama ile ya Malaysia.
Wewe unayehuzunika hawa mashetani kutaabika jinyonge ili upate amani.
Hii si Serikali ya kishetani.iko vizuri Sana kutoa huduma kwa wananchi
 
Endapo kama kweli watu hao wapo, je, umeshawahi kujiuliza wewe mwenyewe kwenye nafsi yako 'hivi ni kwa nini watu hao wanafurahia' pale Serikali inapokumbana na matatizo? Umeshawahi kujiuliza swali hili?

TAFAKURI: Ukimuona mtoto yeyote yule anakuwa na furaha kubwa wakati ambao baba yake mzazi au mama yake mzazi akiwa amekumbwa na janga kubwa na baya sana kama vile kuumwa na nyoka au kupata ajali na kukatika miguu yote miwili, then UNATAKIWA KUTAFAKARI KWA KINA SANA NA KWA UMAKINI MKUBWA SANA. Unatakiwa kutafititi na ujiulize ",HIVI NI KWA NINI HUYU MTOTO ANAFURAHIA MAJANGA YALIYOMKUMBA MZAZI WAKE".
Baada ya tafakuri, mwishowe utapata majibu sahihi.
Sijaona baya ambalo Serikali inalifanya.
 
Back
Top Bottom