Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,561
- 19,056
Baadhi ya Watanzania tena sio idadi ndogo ni watu ambao wamekosa busara, wenye husuda na roho mbaya sana wanaweza wakakuua bila kosa.
Maisha yanapokupiga hawana habari na wewe wala hawaendi TAKUKURU au kwenye vyombo vingine kupeleka habari kua fulani kapigika kimaisha.
Sasa kwanini mnashughulishwa na watu waliofanya juhudi zao na Mungu akaweka baraka kwenye kazi za mikono yao hadi mnapeleka taarifa za uongo ili wenzenu wapate matatizo? Umeibiwa chochote? Umedhulumiwa chochote na muhusika? Una mdai kitu gani muhusika hata kama ni shilingi moja tu upewe na riba ya aslimia elfu moja ili uache roho mbaya!!!?
Uzuri watumishi wa kwenye vyombo hivyo nao ni binadamu, wanaona na wanajua roho mbaya za watu na maonevu na wivu walikua nao baadhi ya watu juu ya Wananchi wenzao na wakati mwingine wakishajiridhisha kuwa umeonewa wanaweza wakakudokeza kilichotokea japo si maadili ya kazi zao na utashangaa aliyekusingizia!
Wee jamaa nimetukana kimoyomoyo matusi yote niyajuayo na mengi ni ya nguoni ila Mungu hawaruhusu waja wake wafanye wanavyotaka. Lakini sifichi natamani mabaya juu yako kwa sababu hujui njia zangu za wala mimi sijui na sina haja ya kujua zako kwa hiyo hukua na sababu zaidi ya wivu, husuda na roho mbaya kufanya uliyoyafanya.
Maisha yanapokupiga hawana habari na wewe wala hawaendi TAKUKURU au kwenye vyombo vingine kupeleka habari kua fulani kapigika kimaisha.
Sasa kwanini mnashughulishwa na watu waliofanya juhudi zao na Mungu akaweka baraka kwenye kazi za mikono yao hadi mnapeleka taarifa za uongo ili wenzenu wapate matatizo? Umeibiwa chochote? Umedhulumiwa chochote na muhusika? Una mdai kitu gani muhusika hata kama ni shilingi moja tu upewe na riba ya aslimia elfu moja ili uache roho mbaya!!!?
Uzuri watumishi wa kwenye vyombo hivyo nao ni binadamu, wanaona na wanajua roho mbaya za watu na maonevu na wivu walikua nao baadhi ya watu juu ya Wananchi wenzao na wakati mwingine wakishajiridhisha kuwa umeonewa wanaweza wakakudokeza kilichotokea japo si maadili ya kazi zao na utashangaa aliyekusingizia!
Wee jamaa nimetukana kimoyomoyo matusi yote niyajuayo na mengi ni ya nguoni ila Mungu hawaruhusu waja wake wafanye wanavyotaka. Lakini sifichi natamani mabaya juu yako kwa sababu hujui njia zangu za wala mimi sijui na sina haja ya kujua zako kwa hiyo hukua na sababu zaidi ya wivu, husuda na roho mbaya kufanya uliyoyafanya.