Mwanyasi
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,955
- 7,101
Duh.... kazi tunayo!kwani waliokuwa waandamane ni wote? kuna akina @new york city pia
Duh.... kazi tunayo!kwani waliokuwa waandamane ni wote? kuna akina @new york city pia
Karibu JF naona umekaa ki-facebook zaidi. Mmepata rais?Msilete hoja zenu hapa za facebook(chadema vs ccm).hapa tunathink beeore arguing sio mnakurupuka.wamemshukuru coz anawashirikisha ktk dvt ya nchi yao.kuna ubaya gani hapo?.wanamshukuru kutaka kuanzisha uraia wa nchi 2 nalo ni kosa?.tujadili haya sio ujinga wenu wa kimagwanda gwanda na ukomandoo.kikwete is the best president ambaye tumempata,anatuletea katiba mpya hata hili mnaponda?.
Wivu wa kike huo, na ww ulitaka mgawo ?
vipi mkuu, mamako ni mwanaume?? mbona unamdhalilisha aisee??
kwa kweli naapa sina imani na watanzania waishio huko ughaibuni.
vipi mkuu, mamako ni mwanaume?? mbona unamdhalilisha aisee??
Amemtaja wapi mama wa mtu?...au na wewe ni mmoja ya wale wanaofikiri kwa masaburi??....nyambafu
Wivu wa kike huo, na ww ulitaka mgawo ?
Aibu kubwa sana kwani ukweli ni kwamba Kikwete alipokewa na mabango machafu ajabu na ujumbe ulifika ila waandishi wa habari hawakufanya kazi yao bali hongo ilitawala
kwa kweli naapa sina imani na watanzania waishio huko ughaibuni.