Baadhi ya wasomi na wanaharakati mnaturudisha nyuma.

People

JF-Expert Member
Jan 15, 2011
364
34
Hembu tuwe wakweli kwenye hili,imekuwa kasumba(sijui watanzania ndio tulivyo!) kujadili na kutafuta mwafaka kwa mambo ambayo yameshatokea but ni vigumu kufanya hivyo kwa mambo ambayo hayajawa hot.Wanaharakati wengi na wasomi wenye upendo na nchi hii tunawaona kwenye majukwa pale tu ambapo jambo fulani limeibuka.......nawasilisha.
 
GHILIBA ZA SERIKALI KUTAFUTA VISINGIZIO KUTANGAZA HALI YA HATARI
KUUA MOTO WA KUDAI TATIBA NCHINI HAIKUBALIKI


Hii dhana inayojitokeza hivi sasa kwamba kuna mtu mmoja Tanzania nzina (kwa jina la Dr Mbura) kuona kitu cha ajabu angani mda mfupi kablaa mabomu kuanza kulipuka Gongolamboto na sasa kudeshesha wazo kwamba huenda tulishambuliwa kutoka nje ya nchi yote niwazo la hatari sana na yakemewe sana na wapenzi wa demokrasia nchini.

Ni wazi kwamba pindi mawazo ya ajabu ajabu na kauli za KINAJIMU HIZI zote ni katika KUTAFUTIA SERIKALI KISINGIZIO CHA SERIKALI YA KIKWETE KUTANGAZA HALI YA HATARI ili kuua moto wa kudai KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI zote kupitia bungeni.

Wa-Tanzania tuamke na tuangalie sana hizi ghiliba wakati wananchi wenzetu wanapotezeshwa uhai hivi!! Tukumbuke haya yote yanatokea wiki moja tu tangu Lowassa kupewa uwenyekiti wa kamati hiyo bungeni, tukiwa katikati ya moto wa kudai katiba mpya, tume huru ya uchaguzi na hatua dhidi ya mafisadi.

Hakuna aliyetarajia huyu bwana kupewa kiti nyeti kiasi hicho kwa taifa letu mbali na shutuma lukuki shingoni mwake!!
 
Back
Top Bottom