Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,146
- 34,190
Sasa si analazimisha kuingiza kabla sijalowana? lazima nichubuke.
Sasa atalazimishaje wakati upo in control of your body.
Sio kubakwa huko?
Sasa si analazimisha kuingiza kabla sijalowana? lazima nichubuke.
sangwine
Demu kufika kileleni sio wewe kupiga bao nyingi au kwenda muda mrefu. Demu anaweza kufika kileleni ndani ya dk 10 kama utakuwa umemuandaa kabla. Ishu sio kuchomeka na kutoa dushe lako ndani. Ni grinding the right erogeneous spots. Huyo demu atakukimbia, maana unachofanya ni kumchosha tuu wala sio kumpa raha. Msome, je ana uwezo wa kufika kilele wakati anasex, au la. Kuna mademu wanafika kileleni, si lazima usex nae nikimaanisha uingize dushe lako ndani. Unatakiwa umjue, na pia jifunze mbinu za kumfikisha ikiwemo kujua mitindo ya kumwezesha kufika kileleni.
WanaJamiiForums wenzangu nahitaji wenu msaada hasa katika suala zima la kufika kileleni kwa mwanamke kupoje. Kwani ni jambo ambalo bado sijapata majibu sahihi ya kuridhisha.
Siku tatu zilizopita nilikuwa na demu katika mahaba, mambo yalikuwa hivi nilipiga bao la kwanza kama ndani ya dakika 4 hivi, baada ya dakika kadhaa nikapanda tena juu ambako nilisugua kitu kwa dakika kama 13 kabla hajafika na demu akisema amechoka, ikabidi nibadilishe Condom after changing it nilisugua kwa dakika kama 20 tena ndipo nikapiga cha pili huku demu akigoma cha tatu katukatu.
Kesho yake demu anananiambia miguu inamuuma, nikauliza kwani jana ulifika kileleleni vizuri anasema hajui.
Je dalili gani zawezanijulisha kuwa demu kafika kileleni wadau wangu?