Baadhi ya wanyama wahamishiwa hifadhi ya Burigi

Safi sana. Nafarijika kuona hili likitendeka sasa baada ya mapori haya kuwafaidisha majangiri kwa niaka mingi sana. Pamoja na hifadhi ya Burigi, uangaliwe uwezekano wa kuyapandisha hadhi mapori ya Moyowosi na Kigosi yana nafasi kubwa na malisho ya kutosha kwa wanyama. Baadhi ya wanyama hasa Nyati Nyumbu na Pundamilia wahamishwe kwa awamu kupunguza msongamao kwenye mbuga za Kaskazini. Angalizo> Kenya tayari waliishaanza kitambo kwa kufungua mbuga ya Meru na Marsabit.
 
DBBC754E-00CE-4447-B109-46A132D41DBB.jpeg
J
2FECFEC9-6A4F-414B-BA7A-5075CDE06F65.jpeg
 

Attachments

  • 9D0F20D0-79A1-4E13-8742-2EFEF6F8E0D3.jpeg
    9D0F20D0-79A1-4E13-8742-2EFEF6F8E0D3.jpeg
    27.9 KB · Views: 30
Nimeona clip, twiga kabebwa akiwa amefunikwa uso. Karibia wanyama wote walikuwa wamefunikwa macho
 
we nae ni kilaza kama walivyo vilaza wengine hivi hilo jambo la wanyama kuhamishwa ndo unaliskia leo?
mbona lipo siku nyingi sana?
Au kwasabu ni chato ndo imekua shida?
 
Watanzania sometimes tunapenda kulalamika bila kufanya uchunguzi na kujudge picha na video za kwenye mitandao,nilikuwa kwenye hiyo mbuga miezi miwili iliyopita na kweli kuna baadhi ya wanyama ambao ni wengi kwenye hiyo mbuga na baadhi kupunguzwa na kuhamishwa kwenye mbuga nyingine mpya,mbuga mpya imefunguliwa,wanyama wanaongezwa ili waende kuzaliana kwenye mbunga hiyo mpya .


Hayo ni maendeleo,kuna misitu mingi sana hii Tanzania na Mapori ambayo bado hazijaitwa mbuga na kuna wanyama wachache mno,,kuongeza wanyama au kuanzisha mbuga mpya ni akili nzuri sana.
Tuangalie hata baadhi ya mbuga za Africa kusini.
Serengeti ina nyumbu zaidi ya million moja na nusu,unaona wivu nyumbu kumi jinsia tofauti kukamatwa na kupelekwa kwenye mbuga mpya?swala wako wangapi mikumi?Twiga wapo wangapi?
 
we nae ni kilaza kama walivyo vilaza wengine hivi hilo jambo la wanyama kuhamishwa ndo unaliskia leo?
mbona lipo siku nyingi sana?
Au kwasabu ni chato ndo imekua shida?
Uwanja wa ndege wakimaifa, bandari yakisasa,JS hotel, bohari ya dawa, bank kubwa ya crdb( ingawa nasikia ishafungwa), nasasa kuhamisha wanyama kuelekea huko.

Je bajeti hii ilipitishwa na bunge?.
 
Watanzania sometimes tunapenda kulalamika bila kufanya uchunguzi na kujudge picha na video za kwenye mitandao,nilikuwa kwenye hiyo mbuga miezi miwili iliyopita na kweli kuna baadhi ya wanyama ambao ni wengi kwenye hiyo mbuga na baadhi kupunguzwa na kuhamishwa kwenye mbuga nyingine mpya,mbuga mpya imefunguliwa,wanyama wanaongezwa ili waende kuzaliana kwenye mbunga hiyo mpya .


Hayo ni maendeleo,kuna misitu mingi sana hii Tanzania na Mapori ambayo bado hazijaitwa mbuga na kuna wanyama wachache mno,,kuongeza wanyama au kuanzisha mbuga mpya ni akili nzuri sana.
Tuangalie hata baadhi ya mbuga za Africa kusini.
Kwa nini iwe sasa huko Chato, na je bajeti yake ilipitishwa na bunge?.
 
Back
Top Bottom