Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,495
- 51,090
Msafara wanyamapori wakihamishiwa hifadhi ya Taifa ya Burigi.
!
!
Tunataka Chato Iwe Jiji
Unamhamisha simba unasahau swalaDuh!
Kazi ipo mwaka huu. Hao wanyama wahakikishe wanapeleka na michepuko yao ili kuwasahaulisha na mazingira mapya, vinginevyo watajua tu kua wako mazingirs mapya na watataka kuhama vinginevyo gharama ya kuwalinda wasikimbie itakua kubwa sana.
Unamhamisha simba unasahau swala
Duh!
Kazi ipo mwaka huu. Hao wanyama wahakikishe wanapeleka na michepuko yao ili kuwasahaulisha na mazingira mapya, vinginevyo watajua tu kua wako mazingirs mapya na watataka kuhama vinginevyo gharama ya kuwalinda wasikimbie itakua kubwa sana.
Kwani nani alisema anataka serengeti B katika kanda mojaMliokuwa mnapinga ujenzi wa airport Chato mnaona hiyo mambo?
Chato inaenda kugeuka Serengeti B