Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Huyu mtu ni mbinafsi kupindukia!
Ha ha halafu Magufuli anajuwa kunanga wengine kwamba wametula sasa na yeye si na sawa ma wengine kwa sababu anajaribu kuhararisha ulaji wa airport yakeMliokuwa mnapinga ujenzi wa airport Chato mnaona hiyo mambo?
Chato inaenda kugeuka Serengeti B
Hili gari nililiona smwhr jms nikamuona n twiga kbs wamemuweka kwa box..kuuliza wakanijibu hvyo hvyo..wanaenda chato...nikakuñ'guta vumbi nikaondoka..
Humu wamejaa watoto au watu wazima wenye akili za kitoto......ila hata tukio la Faru walioletwa kutoka Afrika kusini wamelisahau?Kwani suala la kuhamisha wanyama linaanza leo au kwakuwa wanapelekwa huko ndiyo nongwa?
.....Aiseee !!!
Tofauti na utali ni kuimarisha ulinzi, kwa maana ni marufuku kukutwa huko kama ilivyo maeneo ya jeshi!Mkoa wa kagera una mapori 5 ambayo yamebadilishwa na kupewa hadhi ya hifadhi ya wanyama toka mwaka Jana. Mapori hyo ni burigi, biharamulo, kimisi. Rumanyika n.k sasa HV wanaimplant species za wanyama tofauti ili kuvutia watalii na utalii
Hatimae TAMISEMI wamefungua uhamisho, wanyama nao wanahama.