Iko wapi mkuu?Kwani burigi iko chato ama jiografia yangu imeanza kuchakaaaa!!!!.
Uzi tayari
Hiyo nimeshudia nikiwa pale KATORO niliona magari yamepakiza simba, watoto wa twiga, swala, ngiri poliUnamhamisha simba unasahau swala
Unayodhania wewe inaitwa Bwigiri ambayo iko Dodoma, hii Bugiri inayo zungumziwa hapa iko kanda ya ziwa.Kwani burigi iko chato ama jiografia yangu imeanza kuchakaaaa!!!!.
Ficha upumbavu wako kwa kukaa kimya mara nyingine...
Hapana burigi ipo kagera wilaya ya muleba mpakani na biharamuloUnayodhania wewe inaitwa Bwigiri ambayo iko Dodoma, hii Bugiri inayo zungumziwa hapa iko kanda ya ziwa.