Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,539
- 9,992
Miaka ya karibuni Kuna kundi la Wanawake ambao wanaojiheshimu na hawajaolewa wanalalamika kwamba Wanawake ambao hawajatulia ndo wanaolewa
Ukweli ni kwamba Wanawake ambao wanaonekana hawajatulia wanajua nin wanaume wanataka, mfano unamkuta mwanamke ana miaka 24 na kuendelea unamtongoza anajifanya aelewi kitu mwishowe mwanaume anampotezea sababu Wanawake ni wengi
Point sio kwamba mwanamke umkubalie mwanaume haraka haraka hapana, lakin kumzungusha mwanaume miezi mitatu kila siku mtu anaanza kukutongoza upya kunawafanya Wanawake wengi wanaojiheshimu kukaa mda mrefu sana ili kupata mwenza
Hii inasababishwa na Wanawake wako wengi na cheap, ukichanganya ugumu wa maisha ni nadra sana kwa mwanaume kutumia akili sana ili kumpata mwanamke na mda huo huo atumue kwenye maisha
Ndo maana ni kawaida sana kuwakuta wanaojiheshimu kuwa single lakin sio wale ambao wanaonekana hawajatulia
Ukweli ni kwamba Wanawake ambao wanaonekana hawajatulia wanajua nin wanaume wanataka, mfano unamkuta mwanamke ana miaka 24 na kuendelea unamtongoza anajifanya aelewi kitu mwishowe mwanaume anampotezea sababu Wanawake ni wengi
Point sio kwamba mwanamke umkubalie mwanaume haraka haraka hapana, lakin kumzungusha mwanaume miezi mitatu kila siku mtu anaanza kukutongoza upya kunawafanya Wanawake wengi wanaojiheshimu kukaa mda mrefu sana ili kupata mwenza
Hii inasababishwa na Wanawake wako wengi na cheap, ukichanganya ugumu wa maisha ni nadra sana kwa mwanaume kutumia akili sana ili kumpata mwanamke na mda huo huo atumue kwenye maisha
Ndo maana ni kawaida sana kuwakuta wanaojiheshimu kuwa single lakin sio wale ambao wanaonekana hawajatulia