Baadhi ya wanafunzi kutumia "Surnames" za makabila zisizo na staha ya Kiswahili haitaleta ukakasi wakija kuwa viongozi wa umma??

Yaani kuna majina ambayo hayana hata msingi. Nakumbuka nilienda field huko vijijini usukumani nikakuta mtoto wa darasa la nne anaitwa NYEGE. Sikukubali hadi nilienda kwa mama yake nikamuuliza kulikoni mtoto kumuita hivyo, akajibu eti, mtoto alilia hilo jina (mizimu) ilitaka aitwe hivyo ni jina la babu zake wa zamani.
Haha lol eti nyege kabisaa
 
Haya ndio majina yetu ya asili shida iko wapi?Wengine nyege tu wamefungia wimbo sasa kama huyo Hamza Mkundu imagine angekua msanii tu sijui Basata wange mkatakichwa ?!
 
Aisee kwahiyo badala ya kuangalia matokeo ulikuwa unachimbua majina ya ajabu ajabu😀😀😀
 
Shuleni ndipo sehemu ya kwanza bullies wapoanzisha unyanyasaji, sijui hao watoto wenye majina hayo wananyanyasikaje.
 
Hayo majina asilia yanakuwa na maana tofauti kwa lugha zao, na hata matamshi ni tofauti fresh tu.... ukoloni umewameza nyie mnaona majina ya asili ni matusi.
Mkuu, unahisi majina hayo ni ya watu wa kabila gani kwa maana sijawahi kuyaona hapo kabla??
 
Ila lugha asilia kwa baadhi ya maeneo ni kimeo sana. Mfano huyu mnyama jina lake
IMG_20181115_135923.JPG
 
Back
Top Bottom