Baadhi ya wanafunzi kutumia "Surnames" za makabila zisizo na staha ya Kiswahili haitaleta ukakasi wakija kuwa viongozi wa umma??

Kuhusu mengine sijui, lakini hilo MBORO ni common maeneo ya Kibosho-umbwe. Ndiyo maana ukicheki ni huyo dogo wa Umbwe primary ana hiyo surname.

Hata kaka zao wa sekondari kama Somsom wapo wanaotumia huo ubini. Wengine wamebadili toka Mboro kwenda Mboya.
Kwa hilo nimekuelewa
 
Achilia mbali wakija kuwa viongozi...najaribu kufikiria huko shuleni wana maisha gani, si wananyanyasika sana na hayo majina jamani
Yaani kuna majina ambayo hayana hata msingi. Nakumbuka nilienda field huko vijijini usukumani nikakuta mtoto wa darasa la nne anaitwa NYEGE. Sikukubali hadi nilienda kwa mama yake nikamuuliza kulikoni mtoto kumuita hivyo, akajibu eti, mtoto alilia hilo jina (mizimu) ilitaka aitwe hivyo ni jina la babu zake wa zamani.
 
Back
Top Bottom