Bazazi
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 2,806
- 3,476
Sio jina lake halisi bali la utani. Kama Sugu, Prof J, Msukuma na Prof Maji Marefu.Unamfahamu mh mbunge anaitwa bwege
Sio jina lake halisi bali la utani. Kama Sugu, Prof J, Msukuma na Prof Maji Marefu.Unamfahamu mh mbunge anaitwa bwege
Kwa hilo nimekuelewaKuhusu mengine sijui, lakini hilo MBORO ni common maeneo ya Kibosho-umbwe. Ndiyo maana ukicheki ni huyo dogo wa Umbwe primary ana hiyo surname.
Hata kaka zao wa sekondari kama Somsom wapo wanaotumia huo ubini. Wengine wamebadili toka Mboro kwenda Mboya.
Ndio ndioReally? I didn't know this before
heheehhrhe we utakuwa unanijua vizuri ndio mana umenitag. anyway jina sio pesa. watu wamekosa cha kujadili hadi wanajadili jina badala ya kujadili pesa
Daaaaah umeifany siku yangu kua njema SanaJpm atumbua mkundu na mboro,vichwa vya magazeti vitasomeka
Ko mkuu hua unapost kupata Like ukiona mada uliyoiainisha humu ndani ikapata Like nyingi ujue ni yakipumbavu ko imenasa wapumbavu ila mada nyingi zenye maana hazina Like Kama unazozitaka wewInfantry Soldier umejifunza nini hadi hivi sasa ' Uzi ' wako huu mrefu umekosa hata ' Like ' moja tu?
Ko mkuu hua unapost kupata Like ukiona mada uliyoiainisha humu ndani ikapata Like nyingi ujue ni yakipumbavu ko imenasa wapumbavu ila mada nyingi zenye maana hazina Like Kama unazozitaka wew
Hahahahahha yamekupanda au sio? ansante kwa tusi lako hauna tusi jingine jipya?!!! Maana hayo tumeyazoeaMpumbavu / Popoma aliyetukuka ni lazima tu angeandika hivi kama ulivyoandika Wewe.
Utateuaje mtu anaitwa "mk*ndu"? Utalisomaje jina hilo wakati wa kutangaza uteuzi?Mkuu, una maanisha hata kama jamaa ni kichwa kiasi gani serikali haiwezi kumfikiria?? Hata kama awe genius??
Una watu wangapi huko wanaoweza kuyatofautisha hayo maneno? Kama Jiwe hawezi kutofautisha Alusha na Arusha ama fulaha na furaha, itakuwaje wanakijiji mamilioni ya Watanzania?Mbolo ni tusi mboro sio tusi
Kufeli kwa elimu kusiwe tusi nduguUna watu wangapi huko wanaoweza kuyatofautisha hayo maneno? Kama Jiwe hawezi kutofautisha Alusha na Arusha ama fulaha na furaha, itakuwaje wanakijiji mamilioni ya Watanzania?
Kufeli kwa elimu kumeingiaje hapa? Mimi nafikiri kuwa tunaongelea majina ambayo ni matusi katika Kiswahili.Kufeli kwa elimu kusiwe tusi ndugu
Mboro siku hizi wanajiita MURO. Kwa maana hata DC wetu kule Arumeru jina kama isingekuwa bahati nzuri wamefanya mabadiliko angesomeka Jerry Mboro.Usijali huyo 'Mboro' akipata pesa hilo jina litabadilika na kuwa 'Mbuya'
Yaani kuna majina ambayo hayana hata msingi. Nakumbuka nilienda field huko vijijini usukumani nikakuta mtoto wa darasa la nne anaitwa NYEGE. Sikukubali hadi nilienda kwa mama yake nikamuuliza kulikoni mtoto kumuita hivyo, akajibu eti, mtoto alilia hilo jina (mizimu) ilitaka aitwe hivyo ni jina la babu zake wa zamani.Achilia mbali wakija kuwa viongozi...najaribu kufikiria huko shuleni wana maisha gani, si wananyanyasika sana na hayo majina jamani