Mungu ibariki CHADEMAMagaidi waliobainishwa na Jeshi imara la Polisi Tanzania wameachiwa leo akiwemo Mwenyekiti wa Bavicha Pambalu , hii ni hatua mpya ambayo haikutarajiwa na wengi .
Bado tunaendelea kutafakari , bali inafurahisha sana ikiwa kama Magaidi wanaachiwa bila kufikishwa Mahakamani kujibu mashitaka ya ugaidi wao .
Maendeleo hayana chama .
AminaMungu ibariki CHADEMA
Mwenye tuhuma za Ugaidi ni Mbowe. Usihamishe magoli, subirini apandishwe kizimbani mbaki midomo wazi.Magaidi waliobainishwa na Jeshi imara la Polisi Tanzania wameachiwa leo akiwemo Mwenyekiti wa Bavicha Pambalu, hii ni hatua mpya ambayo haikutarajiwa na wengi.
Bado tunaendelea kutafakari, bali inafurahisha sana ikiwa kama Magaidi wanaachiwa bila kufikishwa Mahakamani kujibu mashitaka ya ugaidi wao.
Maendeleo hayana chama.
View attachment 1868495
Unamaanisha jingaman pombe alochimbiwa chattle?CCM ndiyo magaidi wenyewe rejea gaidi hayati bygones
Ndio hayo mashitaka anayoyatunga Sirro na Diwani ?Mwenye tuhuma za Ugaidi ni Mbowe. Usihamishe magoli, subirini apandishwe kizimbani mbaki midomo wazi.
H.li ni gaidi hasa, siyo hawa wa kutengeneza.Ná huyu gaidi hajakamatwa!?