GREAT NAME
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 932
- 1,249
Habari za leo,
Hizi dini kwa sasa zimekuwahazivutii kabisa tofauti na zamani hasa hawa wanaojiita walokole.
Wamekuwa na vijitabia vya ajabu ajabu katika maisha yao ya kila siku sio wote ila wengi wao ni wanafiki, wachonganishi, wachoyo na wanapenda kujionesha kwa watu kuwa wao ni wema lakini rohoni ni tofauti.
Na sisi wasabato wa siku hizi tumekuwa wa hovyo kupita maelezo ubishi, kujifanya kila kitu tunajua sisi wakati sisi wenyewe hatufuati sheria za MUNGU.
Tubadilike kwa sababu tunajidanganya wenyewe, tunasoma biblia kwa kukurupuka sana na vimjadala vya uchochezi.
MUNGU anataka tuokoe sio tuangamize. Atutangulie na atupe akili ya uelewa kila mmoja wetu.
Hizi dini kwa sasa zimekuwahazivutii kabisa tofauti na zamani hasa hawa wanaojiita walokole.
Wamekuwa na vijitabia vya ajabu ajabu katika maisha yao ya kila siku sio wote ila wengi wao ni wanafiki, wachonganishi, wachoyo na wanapenda kujionesha kwa watu kuwa wao ni wema lakini rohoni ni tofauti.
Na sisi wasabato wa siku hizi tumekuwa wa hovyo kupita maelezo ubishi, kujifanya kila kitu tunajua sisi wakati sisi wenyewe hatufuati sheria za MUNGU.
Tubadilike kwa sababu tunajidanganya wenyewe, tunasoma biblia kwa kukurupuka sana na vimjadala vya uchochezi.
MUNGU anataka tuokoe sio tuangamize. Atutangulie na atupe akili ya uelewa kila mmoja wetu.