Baadhi ya waliofanikisha Filamu na Safari ya Rais Samia nchini Marekani ni hawa hapa

ANAUPIGA MWINGI

JF-Expert Member
Apr 14, 2022
389
753
Kuna mtonyaji wangu yuko karibu na jikoni yaani cm chache kutoka jikoni, nilikuwa nachonga naye Arusha hapa yuko kwenye Sekita ya Utalii Idara ya Ujasusi na alikuwa bega kwa bega kwenye uandaaji wa Filam ya Royol Tour, Ingawa Marekani hakuenda kwa sababu za kiafua, ingawa alikuwa aende pia.

Kaniambia Wafadhili wakubwa ni wafanya biashara wa Utalii Tanzania hasa Wazungu na pia Mwarabu wa Loliondo, kumbuka huyu Mwarabu aliletewa noma wakati wa Jiwe na kule anaonekana amafanya wizi sana hasa kutorosha wanyama hai, huyu Mwarabu ni rafiki pete na Kidore wa Makamu Mwenyekiti mpya wa Chama pendwa, na hata ile seke seke lake kwamba wana mteta jiwe sababu ilikuwa ni Jiwe kuanza kumbana Mwarabu wa Loliondo.

Kuna Mmiliki wa Singita Gurumet Game, Huyu ni tajiri mkubwa sana na ana eneo kubwa sana pembeni mwa hifadhi ya Serengeti na ana mpango wa kumegewa eneo zaidi, huyu ana miliki Ile Game Reserve kwa miaka 99, huyu ni mmoja ya wafadhili na hata pesa za kuandaa filam kafadhili na ikiaminika ndo alie changia kiwango kikubwa sana.

Mbali ya hawa Mwarabu wengine ni amechangia kama Mount Kilimanjaro Safari Club hawa ni Wafansa wana kampuni ya uwindaji na ya Utalii,

Wengine ni wakina Leopard Tours hawa wamechangia pia ila kwa kiasi kidogo sana.

Rostam Azizi naye anaaminika akichangia kiwango kikubwa sana cha Pesa za Safari ya Marekani, na pia nilitonywa Rostam anataka kuchimba Madini Hifadhi ya Serengeti kama mtakumbuka Mama aliwahi siku za mwanzo kabisa kugusia madini yalioko kwenye hifadhi za Taifa basi Rostam anaitaka hio kazi kufa na kupona hasa Serengeti.

Kwa Kifupi Makampuni ya Wazungu hasa ya Uwindaji ndo walifadhili pakubwa sana.

Pia inaaminika kuna Wachangiaji wengine ambao hawajatajwa ingawa wanaaminika wanatoka Marekani na asilimia kubwa wanataka Vitaru vya kuwinda na Mahoteli ya Kitalii.

Swali ni je wana upendo na Tanzania au kuna namna nyingine? Mimi sijui na hata mtonyaji hajui, ila swala la Rostam kutaka kuchimba madini kwenye hifadhi ya Serengeti hio imeisha tajwa tajwa.

Hao ndo Wazalendo walio fanikisha safari na Filam.
 
Huu mjadala ni kama unapigwa pin hata hapa jamvini.

BTW:Ni vyema orodha ikatolewa na huyo huyo anayetuambia amechagiwa mara na mashirika mara watu binafsi.
 
Kwishaaaa habari tunapigwa tena alaf parefu kinoma, hakika anaupiga mwingi ☹️
 
Huu mjadala ni kama unapigwa pin hata hapa jamvini.

BTW:Ni vyema orodha ikatolewa na huyo huyo anayetuambia amechagiwa mara na mashirika mara watu binafsi.
Kuna some thing hiden hapa, roten rat
 
Wazungu hawawezi kuwa na upendo wa kuchangia tu kwamba wana mapenzi sana na Nchi yetu, Jamani tunapigwa na tutapigwa vibaya mno tusipo amka
Hivi kwa nini manasema mnapigwa? Nyie watanzania kuna mtu mwenye uwezo wa kuwaleta watalii kumzidi PJ Tudor wa Singita na Sasakwa hotels zilizoko Serengeti? Au ukamzidi Leopard Tours na huyo Prince wa UAE mwenye Kampuni ya Ortello?

Acheni wageni waje, walete mtaji watengeneze na ajira. Je wasipokuja watalii nyinyi watanzania kweli mnaweza kwenda mbugani kuangalia wanyama?
 
Hivi kwa nini manasema mnapigwa? Nyie watanzania kuna mtu mwenye uwezo wa kuwaleta watalii kumzidi PJ Tudor wa Singita na Sasakwa hotels zilizoko Serengeti? Au ukamzidi Leopard Tours na huyo Prince wa UAE mwenye Kampuni ya Ortello?

Acheni wageni waje, walete mtaji watengeneze na ajira. Je wasipokuja watalii nyinyi watanzania kweli mnaweza kwenda mbugani kuangalia wanyama?
Yule Mwarabu analeta Watalii gani wakati anahamisha wanyama? Tafuta mfanya kazi wake mmoja akupe story, pia huyo Singita anachangia kodi kiasi gani? Zaidi ya kumilikishwa hifadhi kwa miaka 99? Kwa hio wamesukumwa na Uzalendo kuchangia? Kwamba Mwarabu ana upendo sana na sisi
 
Kuna mtonyaji wangu yuko karibu na jikoni yaani cm chache kutoka jikoni, nilikuwa nachonga naye Arusha hapa yuko kwenye Sekita ya Utalii Idara ya Ujasusi na alikuwa bega kwa bega kwenye uandaaji wa Filam ya Royol Tour, Ingawa Marekani hakuenda kwa sababu za kiafua, ingawa alikuwa aende pia.

Kaniambia Wafadhili wakubwa ni wafanya biashara wa Utalii Tanzania hasa Wazungu na pia Mwarabu wa Loliondo, kumbuka huyu Mwarabu aliletewa noma wakati wa Jiwe na kule anaonekana amafanya wizi sana hasa kutorosha wanyama hai, huyu Mwarabu ni rafiki pete na Kidore wa Makamu Mwenyekiti mpya wa Chama pendwa, na hata ile seke seke lake kwamba wana mteta jiwe sababu ilikuwa ni Jiwe kuanza kumbana Mwarabu wa Loliondo.

Kuna Mmiliki wa Singita Gurumet Game, Huyu ni tajiri mkubwa sana na ana eneo kubwa sana pembeni mwa hifadhi ya Serengeti na ana mpango wa kumegewa eneo zaidi, huyu ana miliki Ile Game Reserve kwa miaka 99, huyu ni mmoja ya wafadhili na hata pesa za kuandaa filam kafadhili na ikiaminika ndo alie changia kiwango kikubwa sana.

Mbali ya hawa Mwarabu wengine ni amechangia kama Mount Kilimanjaro Safari Club hawa ni Wafansa wana kampuni ya uwindaji na ya Utalii,

Wengine ni wakina Leopard Tours hawa wamechangia pia ila kwa kiasi kidogo sana.

Rostam Azizi naye anaaminika akichangia kiwango kikubwa sana cha Pesa za Safari ya Marekani, na pia nilitonywa Rostam anataka kuchimba Madini Hifadhi ya Serengeti kama mtakumbuka Mama aliwahi siku za mwanzo kabisa kugusia madini yalioko kwenye hifadhi za Taifa basi Rostam anaitaka hio kazi kufa na kupona hasa Serengeti.

Kwa Kifupi Makampuni ya Wazungu hasa ya Uwindaji ndo walifadhili pakubwa sana.

Pia inaaminika kuna Wachangiaji wengine ambao hawajatajwa ingawa wanaaminika wanatoka Marekani na asilimia kubwa wanataka Vitaru vya kuwinda na Mahoteli ya Kitalii.

Swali ni je wana upendo na Tanzania au kuna namna nyingine? Mimi sijui na hata mtonyaji hajui, ila swala la Rostam kutaka kuchimba madini kwenye hifadhi ya Serengeti hio imeisha tajwa tajwa.

Hao ndo Wazalendo walio fanikisha safari na Filam.
JPM alikuwa mzalendo wa kweli
 
Back
Top Bottom