maramia
JF-Expert Member
- Jul 17, 2015
- 2,030
- 1,344
Katika chaguzi za ndani za CCM huku mikoani, rushwa imekuwa ikitolewa wazi wazi na sidhani kama maofisa wa TAKUKURU walikuwa hawayaoni haya.
Nadhani maofisa hawa wa mikoa na wilaya hawako commited katika jambo hili katika kumsaidia mheshimiwa Rais kupigana vita ya rushwa.
Nadhani maofisa hawa wa mikoa na wilaya hawako commited katika jambo hili katika kumsaidia mheshimiwa Rais kupigana vita ya rushwa.