Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,414
- 15,929
Good morning ladies and gents,
Wakuu katika pitapita zangu kwenye mtandao pendwa wa Instagram kutafuta wauzaji wa bidhaa za ujenzi nimekutana na kitu kilichoniacha na maswali mengi bila majibu. Hivi inaingia akilini mtu kufungua account ya biashara then ukaiweka private?? seriously? kwanini unataka mtu ili aweze kuona unachouza hadi akufollow? wtf is happening to these lame businessmen/women?. Mbadilike pumbaf.
Wakuu katika pitapita zangu kwenye mtandao pendwa wa Instagram kutafuta wauzaji wa bidhaa za ujenzi nimekutana na kitu kilichoniacha na maswali mengi bila majibu. Hivi inaingia akilini mtu kufungua account ya biashara then ukaiweka private?? seriously? kwanini unataka mtu ili aweze kuona unachouza hadi akufollow? wtf is happening to these lame businessmen/women?. Mbadilike pumbaf.