Baadhi ya wabunge wa CCM na Upinzani wadaiwa kuhongwa na menejimenti ya TANESCO

NI UKWELI USIO NA KIFICHO KUWA:

i. Zitto ni mnafiki mkubwa(papa wa unafiki).
ii.Zitto ni FISADI papa.
iii.Zitto ni mwongo mkubwa.
iv.Zitto ni janga kwa CHADEMA.
v.Zitto ni janga la kitaifa.

Amen
Zitto si Mnafiki wala Fisadi Papa Zitto si Mwongo Mkubwa Zitto Si Janga kwa CDM Zitto si Kanga la Kitaifa

But
Zitto amekubali (Pasipo kujua) Kuruhusu CCM imgombanishe na Chama Chake. Do you remember issue ya Buzwagi? Zitto baada ya Kutimuliwa Chama Chake kilimuandalia Mapokezi ya Kishujaa Jangwani.

Zitto bado ni Mwanasiasa Potential sana kwa CDM kama akiamua Akisaidie Chama Chake kuliko anavyofanya sasa.
 
Last edited by a moderator:
kuendesha HAMMER weye wafanya mchezo?hata CHC zito anavuta mshiko!ina maana tusimlaumu EL kwa kutofuata sheria ya PPRA?
 
Zitto akiamua anaweza kuwamaliza CCM kwa hili, Ila kwa Siasa za Zitto za sasa hivi za kuchukua Msimamo Mwepesi dhidi ya CCM sidhani kama atachomoka. If you want to fight with CCM Ni Lazima Uchore Mstari. That is Why Namu admire Dr. W Slaa.

well said! They must have planed this to finish him! Lets wait anda see!

For this ccm will take advantage.
 
Last edited by a moderator:
Inategemea Zitto anawatetea Tanesco kwa nini maana kwenye matatizo ni Wizarani, ofisi ya rais na waziri mkuu walioingia Mikataba feki lakini hawatakiwi kupelekwa mahakamani ati wakipelekwa wao chama kitasambaratika.. Mnachokiona nyie ni kuwachukua kina Mhando na uongozi wa Tanesco kwenye sheria, chama hakiwezi kusambaratika ndio njia ilokubaliwa na wengi.. Ujinga gani huu..Katika hili nipo na Zitto na kina Sendeka (tokana na maelezo ya Sendeka) Mnakinusuru chama kwa sababu gani haswa?

Mkuu Mkandara

Zitto kama Mwaasiasa ana Mapungufu yake. Na moja kati ya Mapungufu yake anapoamini kwamba anaweza kupambana na CCM kwa kuwa Rafiki yao. Hivi kweli akina Makamba wanataka siku Moja CDM iiangushe CCM, Hivi Firikunjombe anamanai kwamba siku moja CDM iiangushe CCM? Ona sasa walivyomnanga.

But I trust in Zitto, Makosa yako katika Serikali nzima kuanzia Rais mpaka Mawaziri, but can This Zitto strike the Governmnet using the said Misile?
 
Last edited by a moderator:
Nasikitika sana kama Zitto ameweza kuingia majaribuni.
Kauli yake ya juzi kuwa ana uwezo wa kuwa Amiri Jeshi ilikuwa very firm na alikuwa bold. Namheshimu sana Zitto, naomba sana aje jukwaani hapa ajitetee kwa hoja ni kwa vipi anawatetea akina William Mhando na kupinga maamuzi ya Wizara ya kunusuru matumizi ya kifisadi.
 
Jamani kuweni makini na muelewe kwa wabunge wa ccm kuelekeza shutuma kwa TANESCO ni njia ya wao kuokoa wanasiasa wa chama chao kwamba hawahusiki.

Zitto ni kijana makini sana na tusubiri tu.Kitu cha kujiuliza ni kwanini wabunge wote wasipitishe uamuzi wa kuunda tume huru ya uchunguzi.CCM wao ni bora shutuma ziende TANESCO ili wanasiasa wao waokoke.

Kumbukeni hawa TANESCO bungeni hawana nafasi ya kujitetea.Lazima tuhoji nini kilitokea kati ya Mhando na vigogo wa serikali.Inawezekana kuna jambo hatulijui.Na mjiulize mbona siku zote hizo huyu Mhando alikuwa anaonekana mtu safi ila ghafla mambo yanabadilika?Mbona hizi siri zote zinavuja wakati huu na haya mambo sio ya leo wala jana?Hata kama TANESCO kuna ufisadi ila siamini kama watendaji wa wizara na wanasiasa hawahusiki na kwamba Mhando alikuwa peke yake ktk hili.Jamani hawa ni wanasiasa na mkumbuke walikuwa na part caucus kabla ja kuja bungeni leo.

Ni swala la muda tu ukweli utajulikana.Mimi sidhani kama Mhando alifanya haya bila mabosi wake kujua.

Kama ni waungwana na wanajiamini tume ya uchunguzi ingeundwa tena haraka.Tume ndio itatoa ukweli kama TANESCO walifanya ufisadi huu peke yao bila wizara kuhusika.

Zitto na wenzako ipo siku ukweli utajulikana na wao wataishia kuumbuka.
 
Tatizo la Zitto sisi tukimshauli hapa kiroho safi anatuona kama hatuwezi kufikiri..jana CCM walimshangilia sana alipotangaza nia,leo wanamshambulia kuwa kala pesa(bado siamini ili)...

Akiambiwa akae mbali na magamba asifikiri wanamtakia mema,yeye na wapambe wenzake wanakuja oooh siasa sio uadui..mara oooh udini ukaskazini..

Mara tunaambiwa tunamchukia sababu anakubalika na makundi yote, ikiwemo hawa waliomchana leo...kifupi jamaa nilimkubaligi sana ila sidhani kama atakuja kuludisha iman yangu kwake sidhani...na pengine anaendeleza Drama zake alizotumwa.
 
Mimi nilimshangaa pale alipoanza kupiga chapuo eti serekali inunue mitambo ya DOWANS hatujakaa sawa akaanza kuendesha HAMMER...Huyu ndugu nilikuwa namheshimu sana ila imani inazidi kupungua kila kukicha.
 
Hapo Zitto hachomoki maana za mwizi ni arobaini. Tulisha sema hata ile Hammer ilikuwa ya fisadi Rostam watu hamkusikia. Chadema ina watu wengi makini kama Mnyika, Rissu, Slaa. Huyu mnafiki hafai kabisa na huu ndio mwishi wake kisiasa.
 
Mkuu Mkandara

Zitto kama Mwaasiasa ana Mapungufu yake. Na moja kati ya Mapungufu yake anapoamini kwamba anaweza kupambana na CCM kwa kuwa Rafiki yao. Hivi kweli akina Makamba wanataka siku Moja CDM iiangushe CCM, Hivi Firikunjombe anamanai kwamba siku moja CDM iiangushe CCM? Ona sasa walivyomnanga.

But I trust in Zitto, Makosa yako katika Serikali nzima kuanzia Rais mpaka Mawaziri, but can This Zitto strike the Governmnet using the said Misile?
Listen bro ni rahisi sana kuangusha mti hata Castle from the bottom kuliko kukata matawi..Yes leo tumeambiwa uharibifu mkubwa as a fact sio wizi bali ni conflict of interest kwa Mhando kumpa tender mkewe na Maswi kununua mafuta kwa bei chee lakini kinyume cha sheria na kanuni za manunuzi,, hii imekuwa big issue kwetu na masikio yote huko Tanesco watiwe ndani lakini mikataba hii ilopelekea madudu haya yafanyike hatutaki itazamwe..iliwekwa vipi na lini na inakwisha lini aaah hatutaki itakigharimu chama na serikali.. Kutaka kujua undani wa Puma energy oooh mtakisambaratisha chama.. Yet viongozi wa Tanesco has to go..

Amini maneno yangu ukiweza kuwatoa hawa na kuwafungulia mashtaka.. katibu mkuu mwingine yoyote atakayekuja atafuata kila watakalo mwamrisha maana ataifanya kazi kama korokoroni na kwa woga..Kuna msemo usemao -Viongozi wetu (Leaders) wanatakiwa kuwa spiritual na innovator sio CEO au MDs.. wanasiasa please.. Tanesco has to be free kabisa kutoka mikononi mwa hawa mafisadis, They work under loss every single day no one cares kwa sababu ni miradi yao wao sasa nani atakaa Tanesco ni yule who suit their interests..
 
Wasiwasi wangu ccm wanataka ku divert issue ya wabunge kuhoji utendaji wa Wizara kwa kumtoa kafara Mhando. Simtetei Mhando na makosa yake lakini naona kuna matatizo ya kujadiliwa kuhusu sera na utendaji wizarani. Ukirejea mawasiliano ya barua (yaliwekwa humu jamvini) kati ya Mhando na KM Maswi,
Mhando alitakiwa kujibu kwanini asichukuliwe hatua kwa kutaka kuanza mgao bila idhini ya wizara.
 
Hapo ndo nashindwa kabisa kuelewa faida ya elimu ktk siasa.

Mh. Sifahamu kama una elimu kubwa lakini kwa kuwa nimesikia unasoma Ph.D. somewhere, nimeamini unataka kuongeza elimu, lakini kwa haya niliyoyasikia Bungeni na kwa kuwa siku za nyuma tuliwahi kukuzoza hapa JF kwa support yako juu ya Tanesco na mpango wao wa kununua majenereta, nashindwa kuamini umakini wako. Utaharibu sifa ya Ph.D, ni bora u-download cheti kama wengine walivyofanya.

Which reasonable asset of ideas do you still have to offer to the public following all these revelations? Are you the same person you once struggled to outweigh Hon. (then) Slaa?

Is it true that you are a typical example of majority who fail to separate power and prostitution?

I believe, this is a fissure in your political ambition. You are likely to fall somewhere, obtusely.

Tunakunyooshea mkono kuliko yeyote kwa sababu wewe ni CHADEMA. Chama ambacho wengi wamekiona ni kama regulator wa matatizo ya wanyonge. What other bad words should make you understand our dissatisfaction? Mbunge kijana gani wewe?
 
Zitto umeangukia pua. Haiwezekani wabunge wote washout kwa nguvu Zittoooo! na kuzomea kila wakisema kuwa hata kutoka upinzani. Kwa nini wasimtaje Rissu ambaye ni mwiba zaidi kwao, au Mnyika au Mdee au Nassari au hata Mbowe mwenyewe kiongozi wa upinzani?

Kila ngoma ikilia sana upasuka. Haya nadhani ndio madhara ya kuwa a double agent.

Mimi nilisema hapa watu hawakuelewa mmesikia wenyewe sasa!!
 
Ila Ninavyowapenda CCM bana. You will never see Rejao , Ritz zomba wakicoment hapa siyo kwamba wanampenda sana Zitto ila wanawaachia CDM Wanangane wenyewee weeeeeeeee
 
Last edited by a moderator:
Hapo ndo nashindwa kabisa kuelewa faida ya elimu ktk siasa.

Mh. Sifahamu kama una elimu kubwa lakini kwa kuwa nimesikia unasoma Ph.D. somewhere, nimeamini unataka kuongeza elimu, lakini kwa haya niliyoyasikia Bungeni na kwa kuwa siku za nyuma tuliwahi kukuzoza hapa JF kwa support yako juu ya Tanesco na mpango wao wa kununua majenereta, nashindwa kuamini umakini wako. Utaharibu sifa ya Ph.D, ni bora u-download cheti kama wengine walivyofanya....

Mkuu, ndo kwanza wengine tumetua toka Sayari za mbali. Ni Revelations gani zinazoongelewa?
 
Nasikitika sana kuona jf imeanza kuzikubali propaganda za CCM...zilizotengenezwa kutoka kwenye cocus..... CDM zitto bado ni potential sana,na Mkitaka CDM isambaratike endeleeni kumchukukia zitto
 
Zitto umeangukia pua. Haiwezekani wabunge wote washout kwa nguvu Zittoooo! na kuzomea kila wakisema kuwa hata kutoka upinzani. Kwa nini wasimtaje Rissu ambaye ni mwiba zaidi kwao, au Mnyika au Mdee au Nassari au hata Mbowe mwenyewe kiongozi wa upinzani?

Kila ngoma ikilia sana upasuka. Haya nadhani ndio madhara ya kuwa a double agent.

Mimi nilisema hapa watu hawakuelewa mmesikia wenyewe sasa!!

Ha ha ha Zitto hajaangukia Puwa. CCM wanatambua kwamba Ili CDM Isitulie ni Lazima Viongozi wao wasiwe Kitu Kimoja. Na siku zote Nasemaga kwamba the of Destruction of CDM ni Mbowe na Zitto.
 
Last edited by a moderator:
Inategemea Zitto anawatetea Tanesco kwa nini maana kwenye matatizo ni Wizarani, ofisi ya rais na waziri mkuu walioingia Mikataba feki lakini hawatakiwi kupelekwa mahakamani ati wakipelekwa wao chama CCM kitasambaratika.. Mnachokiona nyie ni kuwachukua kina Mhando na uongozi wa Tanesco kwenye sheria maadam chama hakiwezi kusambaratika, na ndio njia ilokubaliwa na wengi.. Ujinga gani huu..
Katika hili nipo na Zitto na kina Sendeka (tokana na maelezo ya Sendeka) Mnakinusuru chama kwa sababu gani haswa?

Haya sasa aendelee kuwatetea vibaka, na yeye atakuwa kibaka baada ya muda..... Wewe Mhando kateuliwa na CCM kuwa pale wewe CDM unamtetea nini???

Ndiyo maana mimi siku zote nasema Zito ana matatizo..... Ulinzi anaompa JK na CCM na Mhando si bure, tangu awe kwenye ile kamati ya madini ......

Na ndiyo kasema anautaka urais...
 
Back
Top Bottom