Jamani mbona mmeshupalia sana 1 side?je na wale mashangingi wanaovaa vikuku je wako safi?
Tupe majina tuyafanyie uchunguzi ...
kaka acha kuwa mbinafsi,kule siyo kuropoka ropoka, unaenda kwa hoja na sumtym hoja ya chama anaweza kuibeba mbunge m1 not nessesarily wote waongée..lakini pia hujawatendea haki wtu km myika,lema..etc!. kuwa bungeni ni zaidi ya hoja zinazotolewa na mtu m1 m1..imagine zitto anaongea wenzake wote hawapo kwny Vitini kwao!Ukiondoa Zitto may be na Lissu kwa upande MP's wa upinzani wengine woooooteeee sijaona wanalolifanya...
kaka acha kuwa mbinafsi,kule siyo kuropoka ropoka, unaenda kwa hoja na sumtym hoja ya chama anaweza kuibeba mbunge m1 not nessesarily wote waongée..lakini pia hujawatendea haki wtu km myika,lema..etc!. kuwa bungeni ni zaidi ya hoja zinazotolewa na mtu m1 m1..imagine zitto anaongea wenzake wote hawapo kwny Vitini kwao!
Tupe majina tuyafanyie uchunguzi ...
Wenje na machemli wa sengerema....mzee wa rombo selasini
Stephen Nyerere punguza pombe na mambo ya kijinga.
mkuu nipo kwete tabia zao mitaani na sio bungeni tafdhaliukiondoa zitto may be na lissu kwa upande mp's wa upinzani wengine woooooteeee sijaona wanalolifanya na sidhani kama ni wapiganaji. Nilitegemea bunge hili litakuwa moto pande zote ccm/cdm/cuf/nccr ktk historia ta tz lakini so far yaani it's a big disappointment!!
Mimi ni Mtanzania, tena mpenda maendeleo na mpigania vijana... na hasa hasa mpenda haki na maendeleo ya nchi
sipendi viongozi wanaoonyesha picha mbaya kwa namna yoyote ile kwani wanatunyima taswira nzuri
Naomba leo nitoe ushauri kwa baadhi ya wabunge vijana
mmefanikiwa sana nawapongeza
ni wapiganaji wa kweli nawapongeza
ni vijana sana nawupongeza
mko chadema na ccm, nawapongeza
Baadhi yenu mmeanza kulewa, mnalewa sana madaraka na mnalewa pombe sana
mmefikia hadi mnaharibu...
Nikiamua nitawataja ila mmoja kanikera analewa na magrupu ya wanawake wengi, anatukana na kupiga makelele hovyo, ni kijana yupo kanda ya ziwa
haangalii hata amezungukwa na nani
TUSAIDIANE
huu ni umebea tena mchana kweupe, unamzunguka nani? kama bado unausingizi endelea kuvuata shuka.