Walianza Simba kwa vipengele hivyo na hela ndogo zaidi hadi walipogundua Yanga kapata zaidi wanaenda kupiga magoti angalau wafanane na YangaUnadhani Simba ni wajinga kiasi hicho?
Mbona hicho kipengele kimekaa ki uwongo uwongo ujanja ujanja uswahili Swahili kweli mkataba unakuwa na maneno ya kitoto hivyo "hata wa nyanya"Sasa naanza kuelewa kwanini Manji ameamua kujiudhuru,sasa nafasi ya quality group au Manji ipo wapi hapo
Sports pesa wametoa 900M hivyo hakuna mdhamini yeyote atakayeruhusiwa na wachezaji pia image zao zimeuzwa
Image na voice za wachezaji 22+ ,nembo ya timu nk nk kwa 900M na hakuna sponsor mwingine atakayekubaliwa
Hivi hilo neno nyanya lipo kwel kwenye huo mkataba jaman?
Mkuu weka mambo sawa basi kama umesoma, Ili huyo jamaa aonekane muongo kwani hawezi kuonekana muongo mpaka iwe na kweli yake.Mkuu! Mbona unapotosha watu?
Leta mkataba genuine na sio hiki kipande kilicho fanyiwa editing kutoka Kwenye mkataba ule wa Manji.
Msiangaike Sana jamani! Mkataba nimeusoma na hakuna vipengele vya namna hiyo.
Hapana. Simba wana akili sana. Ndio maana wakampelekea Mbuyu Twite mshiko. Mahari badala apewe mzazi, kapewa mwolewaji...vipi rufaa yenu ya kutengua katerero?Unadhani Simba ni wajinga kiasi hicho?
Un Sot Trouve Toujours Un Plus Sot Qui L'admire.Sasa naanza kuelewa kwanini Manji ameamua kujiudhuru,sasa nafasi ya quality group au Manji ipo wapi hapo
Sports pesa wametoa 900M hivyo hakuna mdhamini yeyote atakayeruhusiwa na wachezaji pia image zao zimeuzwa
Image na voice za wachezaji 22+ ,nembo ya timu nk nk kwa 900M na hakuna sponsor mwingine atakayekubaliwa