Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,480
- 35,375
Habari za asubuhi!
Leo kuna mtu alipost jambo humu akanikumbusha jambo, nikaingia library kupekua nikakutana na picha za matukio kadhaa ya nyuma yaliyofanywa na viongozi wetu.
Hebu icheki hii picha chini kisha utagundua kuwa tuna baadhi ya viongozi vichaa katika Taifa hili.
Hawa watu wenye makazi duni kiasi hiki ni kipi kilistahili kutangulia kati ya kuboreshewa makazi yao au kuwekewa umeme?
Najua wapo watu watatetea kuwa serikali jukumu lake si kujenga makazi ya wananchi. Je, serikali haina jukumu la kuhakikisha ustawi wa wananchi?
Endapo wangeboresha sekta ya kilimo, ufugaji na uvuvi wananchi hawa wasingeweza kuwa na makazi bora?
Serikali inajisikia fahari kusema wameweka umeme vijijini kwa asililimia nyingi?
Hawa ndio watakatwa 1000 kila mwezi kulipia majengo yao.
Serious?
Leo kuna mtu alipost jambo humu akanikumbusha jambo, nikaingia library kupekua nikakutana na picha za matukio kadhaa ya nyuma yaliyofanywa na viongozi wetu.
Hebu icheki hii picha chini kisha utagundua kuwa tuna baadhi ya viongozi vichaa katika Taifa hili.
Hawa watu wenye makazi duni kiasi hiki ni kipi kilistahili kutangulia kati ya kuboreshewa makazi yao au kuwekewa umeme?
Najua wapo watu watatetea kuwa serikali jukumu lake si kujenga makazi ya wananchi. Je, serikali haina jukumu la kuhakikisha ustawi wa wananchi?
Endapo wangeboresha sekta ya kilimo, ufugaji na uvuvi wananchi hawa wasingeweza kuwa na makazi bora?
Serikali inajisikia fahari kusema wameweka umeme vijijini kwa asililimia nyingi?
Hawa ndio watakatwa 1000 kila mwezi kulipia majengo yao.
Serious?