Baadhi ya viongozi wa DRC wakatazwa kuingia Marekani

Marekani yapiga marufuku baadhi ya viongozi wa DRCongo na familia zao kuingia nchini humo. Wanadai walipika matokeo ya uchaguzi. Yumo MK wa Tume, Jaji Mkuu, Rais wa Bunge, Rais wa Mahakama ya Katiba, baadhi ya Wanajeshi Waandamizi na Serikali.

US bans DRC election chief, top judge over vote conduct
Marekani ndio nini Bwana, kwani kila mtu lazima aende uko?Wengine mpaka Leo hawana mpango wa kwenda kokote, alipigwa marufuku Mugabe akaenda UN.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona wa Tanzania hapigwi ban ujue uchaguzi ni huru na haki.
Plus, mkongo mzuie asiende ubelgiji au ufaransa utakuwa umemkomoa, sio usa.

Subiri kidogo utakisikia unachokitaka kukisikia. Unadhani kila mtu anaweza kupata audience ya kina HardTalk?
 
Poa tu.Marekani sio Mbinguni sio kuwa ni lazima mtu aende huko ili amwone Mungu.
Marekani ni mshirika muhimu kwa maendeleo ya nchi yeyoye duniani. Urusi inamhitaji, China inamhitaji sembuse viinchi vyetu.
 
.
Marekani ni mshirika muhimu kwa maendeleo ya nchi yeyoye duniani. Urusi inamhitaji, China inamhitaji sembuse viinchi vyetu.
Marekani inaihitaji China zaidi Marekani bila China wako hoi bin taabaani.China ndio wakopeshaji wakubwa wa serikali ya Marekani.Deni kubwa la nje Marekani wanalodaiwa wanadaiwa na china.Kongo wachina wamejaa hao viongozi wataenda China hawahitaji kwenda Marekani
 
Marekani ni mshirika muhimu kwa maendeleo ya nchi yeyoye duniani. Urusi inamhitaji, China inamhitaji sembuse viinchi vyetu.
Kongo ilishachukuliwa na China mmarekani yuko anaweweseka usingizini.ooh viongozi wa Kongo wasije Marekani .kuna kiongozi wa Kongo aliewaambia kuwa anataka au ana mpango wa kwenda Marekani?
 
Poa tu.Marekani sio Mbinguni sio kuwa ni lazima mtu aende huko ili amwone Mungu.
Ni kweli,

Hawa Marekani ni wapuuzi, sisi tunapokuwa TUNATESA, TUNAUA RAIA WETU, TUNAWATUPA MAGEREZANI, TUNAWAPIGA RISASI ZA VICHWA, Hatuwapi HAKI NA UHURU wao. Tunapowadhulumu MALI ZAO, Wao Marekani inawahusu nini kwani ??
 
Marekani ni wajinga sana,waafrika waungane kwa maendeleo yao.
Utaendelea na nini wakati hata njiti za kiberiti zinatoka kwao? Wakifunga vipuri vya bambadia visiletwe mnaziweka kabatini? We una upeo mdogo. Unajua wakiweka vikwazo hata Ikulu umeme hautawaka?
 
Bado hawakubali yule kibaraka wao kapigwa chini?
Marekani sio siri wako nyuma sana kujua siasa za Africa mchina anaenda kimya kimya . Marekani hujifanya wanajua nani wanamtaka na kuonyesha wazi na kuingilia michakato wazi wazi wangekaa kimya huyo kibaraka wao angepita kelele zao zilistua waliolala.Tanzania pia Lowassa na Seif Sharif Hamad wangeshinda kama Marekani wangeacha siasa za ndani ziachiwe mkondo wake Lakini kuingilia kulifanya wapiga kura washtuke kuwa kulikoni mbona hawa wanaungwa mkono sana na Marekani na ulaya? Wakapigia kura Magufuli na Shein.Marekani wajifunze China.China huji sikia tamko kutoka Beijing kuhusu uchaguzi wowote wa Africa wanaenda kimya kimya.No trumpets like America.
 
Mwenzako Bashite na mtukufu hawataki Tundu Lisu awaongelee wakihofia kuzuiwa kwenda huko ingawa mtukufu huwa ni muoga kupanda ndege, sasa kama Siyo mbinguni ni kwa nini hamtaki Tundu Lisu aende kuko kusema uovu wenu? Si muache aongee tu mkae kimya?
Hii kauli nikama zile alikuwa anatoa jamaa moja wakati akifumuliwa marinda
 
Kuna wale jirani zetu walikuwa wanajigamba wamemsaidia jamaa kuingia madarakani, wenye vipi hawajapigwa BAN?
 
Subiri kidogo utakisikia unachokitaka kukisikia. Unadhani kila mtu anaweza kupata audience ya kina HardTalk?
Hao jamaa Sio wajinga kama nyie. Hivi unaamini kabisa kwamba wanaamini alichokiongea lissu. Wanao wawakilishi huku na pia kama ulisikiliza hiyo interview the interviewer alifanya research kabla ya kumhoji lissu na lissu failed miserably kujibu maswali mpaka anaambiwa hizo ni inflamatory allegations. Sasa kama mmeweka all hopes ktk bbc hatdtalk, jiandarni.
Mfano lissu anasema ktk bbc hard talk barrick hawajakubaliana chochote na serikali alafu mmoja wa watendaji wakuu wa barrick anasema wamekubaliana na serikali.
 
Back
Top Bottom