Baadhi ya Viongozi wa BAWACHA waliofika Ubalozi wa Marekani kushinikiza Mbowe aachiwe waanza kukamatwa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,217
217,186
Mwenyekiti wa Bawacha Temeke, Neema Mwakipesile anadaiwa kuchukuliwa na Polisi usiku wa manane kwa kinachodaiwa tuhuma za kufika ubalozi wa Marekani kushinikiza Mbowe aachiwe akishirikiana na akina mama wengine wa CHADEMA.

Bado haijafahamika kama ataunganishwa kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili Mbowe au la.

Baada_ya_@BawachaTaifa_kufanya_maandamano_yao_@usembassytz_kushinikiza_Mhe.Mbowe_aachiwe_usiku...jpg
 
Back
Top Bottom