B'REAL
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 4,279
- 2,733
Habari za asubui wakulungwa!Kuna Jambo limenishunisha sana,nikaona Ni share na wanzego tuchukue Kama taadhari au kwa wengine kama fundisho.
Mimi ni mjasiriamali mdogo mdogo na kijibanda changu Cha kuuza PRS mbili tatu za viatu, hapa sehemu ninayo fanyia biashara Ni changanyikeni.
Basi bana Kuna wiki Kama mbili akaja kijana mwezangu(mha) mimi sio mha akanielezea mwaswaibu yake,mengi kweli na jinsi life lake lilivyo tyt kwa Sasa, akaniomba Kama inawezekana nimpe hata pr tatu nne akazungushe jioni awe analiletea hela then na yeye atakuwa kapata chochote.
Nilimuonea huruma na Nikamuhoji muhoji palee,nikajua anapoishi basi nikaingiwa Imani nikasema maisha nikusaidiana ngoja nimuamini.
Nikampatia PRS Kama nane baada ya Kama siku sita tokea Nimpatie Hadi leo sijamuona. Kinachoniumiza nikwamba nilimuamini Kama kijana mwezangu Ila kaamua kunitenda.
Style hii inafanya vijana wengi kuto saidika, naamini iko siku tutaonana tu. Hii imenifanya niwe na roho ya kuogopa kusaidia mtu
Mimi ni mjasiriamali mdogo mdogo na kijibanda changu Cha kuuza PRS mbili tatu za viatu, hapa sehemu ninayo fanyia biashara Ni changanyikeni.
Basi bana Kuna wiki Kama mbili akaja kijana mwezangu(mha) mimi sio mha akanielezea mwaswaibu yake,mengi kweli na jinsi life lake lilivyo tyt kwa Sasa, akaniomba Kama inawezekana nimpe hata pr tatu nne akazungushe jioni awe analiletea hela then na yeye atakuwa kapata chochote.
Nilimuonea huruma na Nikamuhoji muhoji palee,nikajua anapoishi basi nikaingiwa Imani nikasema maisha nikusaidiana ngoja nimuamini.
Nikampatia PRS Kama nane baada ya Kama siku sita tokea Nimpatie Hadi leo sijamuona. Kinachoniumiza nikwamba nilimuamini Kama kijana mwezangu Ila kaamua kunitenda.
Style hii inafanya vijana wengi kuto saidika, naamini iko siku tutaonana tu. Hii imenifanya niwe na roho ya kuogopa kusaidia mtu