Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,797
- 71,217
Sasa mtu ambaye hata hajui tofauti ya Libya, Kuwait na Iraq kwa location atajuaje hayo mengine? ukweli mzee baba ufahamu wake nje ya kukariri ni mfinyu sana na unatia ukakasi. Na yaweza kuwa ndio sababu kubwa ya kugomea kwenda nje.Anaonyesha uwezo kupambanua mambo ktk mtazamo mkubwa, mtu mwenye narrow mind kama JIWE akiulizwa msimamo wake juu ya uraia pacha, angeropoka "hao wameishatusaliti"
Kuna siku atatoka pale na wenzake hawataogopa kutupa siri za mtungi