sam daniel
Member
- Feb 28, 2018
- 11
- 3
Habari wana JamiiForums
Naombeni ushauri wa mawazo na ushauri wenu mm nina mtaji wa mil 3 nataka kufanya biashara ya juice ya miwa lakini nataka niiweke kwenye fremu je italipa naombeni ushauri wenu !kingine mashine nitazipata wapi ?na pia nahitaji disposable glass ntazipata wapi?asanten naiman mtanisaidi ndugu zangu.
Naombeni ushauri wa mawazo na ushauri wenu mm nina mtaji wa mil 3 nataka kufanya biashara ya juice ya miwa lakini nataka niiweke kwenye fremu je italipa naombeni ushauri wenu !kingine mashine nitazipata wapi ?na pia nahitaji disposable glass ntazipata wapi?asanten naiman mtanisaidi ndugu zangu.