Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,257
- 105,389
Four dimensions mbina hata wewe upo hapo kwenye three dimensions za space na moja ya time.mathematics kama yenyewe ipo original haibadiliki kamwe ila sasa mafafanuo yake katika dunia yetu ndo shida zinapoanza
mambo kama four dimensions being au being before time they cant make any sense kwetu. Chukulia four dimensions hakuna binadamu ambaye anaweza ona hizo dimensions zimekaaje
Four dimensions za spacetime tayari hizo.
Kulingana na Albert Einstein's Relativity.
Sent using Jamii Forums mobile app