bahati93
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 1,134
- 2,010
Good Morning people,
Kwanza kabla sijafika mbali napenda niweke bayana mambo yafuatayo.
Sasa baada ya kusoma point hizo mbili muhimu nakukaribisha kwa moja ya kiungo muhimu kwa binadamu Ubongo, ambao watu wamezidiana kutokana na uwezo wake katika kunyambua taarifa unazopokea kutoka kwenye mifumo ya fahamu. Sasa kuna wale ambao wapo chini ya wastani ( zezeta) , kuna wale ambao wapo kwenye wastani ( mediocre) na kuna wale walio juu ya wastani ( genius),
kutokana na tamaduni nyingi hapa duniani kuweka akili ni kama sehemu ya heshima kwa mtu hivyo inalindwa kwa nguvu zote mtukane matusi mengine ila sio ya kuhusiana na akili patachimbika. Hali ambayo imepelekea kutokuaminika kwa wale ambao akili zipo juu ya wastani, bora maisha ya saa hivi, maana hapo kale wengi waliishiwa kuuwawa kutokana kutokuendana na wanajamii wenzao, kumbuka hili ni kundi la watu ambao wapo wachache wasingeweza kujitetea kutoka kundi ambao wapo wengi ( mediocre)
Kutokana na umakini wa watu hawa wanajikuta wanajua misingi mikuu ya elimu/knowledge ambayo haiwezi badilika, tangia wakiwa wadogo. Misingi
Kwanza kabla sijafika mbali napenda niweke bayana mambo yafuatayo.
- Mosi: binadamu tumetofautiana talanta kutokana na katiba ya miili yetu ilivyoumbwa. Hivyo sio jambo jema kukashifu mwingine kutokana na mapungufu ambayo yapo nje ya uwezo wa asili wa miili yao. Waraka huu sio wa kukashifu uchukuliwe kama dirisha la kuangalia utendaji wa mawazo wa binadamu wenzetu.
- Pili: mgawanyo wa talanta waweza wekwa bayana Normal Distibution curve, katika jamii yoyote ile, hii curve is very important katika maswala ya takwimu. Hii curve inamwinuko katikati na kusinyaa inapotoka na inapoishia. Ambapo inamaanisha kwamba kushoto kuna udhaifu, wakati katikati inaonyesha wastani wa kiwango na kulia kwake kunaonyesha waliopitiliza. Mfano ukiangalia urufe kutoka jamii mbalimbali utaona kuna mbilikimo, alafu warefu wa wastani ambao wapo wengi na mwisho wanafunga super tall magiant wachache.
Sasa baada ya kusoma point hizo mbili muhimu nakukaribisha kwa moja ya kiungo muhimu kwa binadamu Ubongo, ambao watu wamezidiana kutokana na uwezo wake katika kunyambua taarifa unazopokea kutoka kwenye mifumo ya fahamu. Sasa kuna wale ambao wapo chini ya wastani ( zezeta) , kuna wale ambao wapo kwenye wastani ( mediocre) na kuna wale walio juu ya wastani ( genius),
kutokana na tamaduni nyingi hapa duniani kuweka akili ni kama sehemu ya heshima kwa mtu hivyo inalindwa kwa nguvu zote mtukane matusi mengine ila sio ya kuhusiana na akili patachimbika. Hali ambayo imepelekea kutokuaminika kwa wale ambao akili zipo juu ya wastani, bora maisha ya saa hivi, maana hapo kale wengi waliishiwa kuuwawa kutokana kutokuendana na wanajamii wenzao, kumbuka hili ni kundi la watu ambao wapo wachache wasingeweza kujitetea kutoka kundi ambao wapo wengi ( mediocre)
Kutokana na umakini wa watu hawa wanajikuta wanajua misingi mikuu ya elimu/knowledge ambayo haiwezi badilika, tangia wakiwa wadogo. Misingi
- Elimu ambayo inakuja na mbongo zetu, Moja: hesabu, huwezi kamwe pata mbili jumlisha mbili iwe tano, MBILI: space and time huwezi fikiri jambo lolote bila kuhusisha space and time ukishaona unaongelea mambo ambayo space and time havipo ujue unaongea moshi na pumba.
- Elimu ambayo inakuja na experience, kadiri anavyokuwa anaona matendo ambayo ni possible kutokea ambalo anaambiwa hawezi kubali mpaka apate udhibitisho kamili kama kweli latokea.
- Dunia haikuumbwa kwa siku sita. Nani alikuwepo akahesabu?
- Binadamu hakufinywangwa,
- Mwanamke hakutoka ubavuni kwa adamu.
- Nyoka hawezi ongea. Kwa sababu hana koromeo
- Wanyama wote wasingeweza kutosha kwenye safina. simba na chui walikula nini ndani ya safina?
- Ukienda juu hukuti mbingu na ukichimba chini hukuti kuzimu. Mnara wa babeli? International space station?
- Hauwezi ukakaa ndani ya tumbo ya nyangumi ukapona. Au unafikiri tumboni kwa nyangumi kuna miti imeota?
- Bikira hawezi akazaa pasipo kupata mbegu za kiume. Binadamu lazima awe na mchanganyiko wa mbegu ya mama na ya baba. ambae hana sio binadamu
- Upepo kutenganisha bahari na watu kuvuka. Nguvu ya upepo isiwapeperushe?
- Kiumbe mwenye nguvu kusikiliza maombi yetu na kutekeleza. Kwa hio anaupendeleo kwa kila wanaoshinda? Aache mipango aliyokupangia kutokana na uweza wake mkuu akupe unayotaka wewe na uweza wako mfupi?
- Yesu kufufua watu. Ao waliofufuka wanasemaje huko walikokua??
- Yesu kutembea juu ya maji. Realy?
- Yesu kupaa mawinguni. Realy?
- Binadamu tumezaliwa na dhambi ya kurithi. Realy kosa atende mwingine uadhibiwe mwingine ? ni haki gani ipo hapo?
- Wadhambi kuchomwa moto milele. Ni adhabu gani hio isiyokuwa na mwisho? Huyu ndo kiumbe mwenye upendo kwa alivyoviumba avicommit milele kwenye mateso? Kwani mwisho ushawahi kufika mpaka watu wawe na experience ya huo moto?
- Peponi kuwa na furaha na raha. Utajuaje raha pasipo kuonja uchungu?
- Uwepo wa roho.
- Kuwepo kwa TRUE LOVE. Or SOUL MATE. Why sikuzote watu walio in same location ndio wanafall in love? Kwa nini mtu ambaye yupo njombe aseme mpenzi wake yupo dar atakuja?
- Hakuna sisimizi anaweza mtambua binadamu, wala kuongea na wenzake
- Jua halizami kwenye matope
- Kuamini asilimia mia idea za kisiasa au kiuchumi. Kutokana na uwezo mkubwa wa kuchambua mada mbalimbali huwezi kuta anasapoti idea moja fully coz kuna makosa lazima atayaona
- Kusimamisha jua. Kusimama kwa jua hakuzuii usiku n mchana