na hii tabia ya kuanza kumpangia Rais sijui imetoka wapiMshaanza majungu yenu.
shida ni yeye alivyoanza kuingilia kila wizara na kubeba majukumu yote. Mawaziri waliingia uoga na mpk sasa iko hivyohivyoHabari za muda huu.
Ni muda sasa nimekua nikifuatilia utendaji kazi wa Serikali ya awamu ya 5 na kiukweli nimejiridhisha kwamba baadhi ya mawaziri hawako "active" kama uongozi wa juu wa nchi unavyotaka. Hili limethibitishwa na Mkuu wa nchi Mh. Rais Dk. John Pombe Joseph Magufuli wakati anaongea na baraza la biashara la Taifa kikao kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Ni kama wameamua kunyamaza au "kumsusia" kazi zote Rais na Waziri Mkuu. Hili jambo si la afya njema katika uendeshaji wa Serikali na taasisi zake. Nitoe wito na kumshauri Mh. Rais ni muda mufaka sasa wa kufanya mabadiliko makubwa katika Baraza lako la Mawaziri kwa ustawi wa serikali unayoiongoza.
Ahsante na nakutakia kazi njema!
Je kama wana sababu za msingi za kutohudhuria??Ni ujinga wa hali ya juu Kwa Tizeba ambaye ni waziri wa Kilimo ambayo ndiyo Engine ya Viwanda na Biashara au Mpina waziri wa mifugo ambayo ni mingi mno imatafuta soko kushindwa kushiriki kikao kama kile. Nadhani wasomi wa Tanzania wanasoma kupata Vyeti
Mahali pa kuwaonyesha na kutangaza Fursa waziri anakua busy? huo ni Upumbavu sasa, fursa kama hiyo ataipata wapi tena?Je kama wana sababu za msingi za kutohudhuria??
Je kulikua hamna wawakilishi wengine wa Wizara?
Mh. Rais atakua ameliona hilo nilimuona akiwa amechukia sana siku ile
Engine ya viwanda? Mbona hilo halijidhiirishi kwenye bajeti ya serikali? Tokea mwaka 2003 (Maputo Declaration) serikali za CCM zimeshindwa kutenga 10% ya bajeti kwenye kilimo, kama Azimio lilivyoagiza. Mwaka huu bajeti na disbursement ni aibu, huku bilioni 500 zikitengwa kununua ndege!!Ni ujinga wa hali ya juu Kwa Tizeba ambaye ni waziri wa Kilimo ambayo ndiyo Engine ya Viwanda na Biashara au Mpina waziri wa mifugo ambayo ni mingi mno imatafuta soko kushindwa kushiriki kikao kama kile. Nadhani wasomi wa Tanzania wanasoma kupata Vyeti
bro mshahara wako mkubwa sana pale Lumumba.Kama Mbowe alivyosusiwa?
Kwa hiyo hiyo ni sawa kwao kutohudhuria hicho kikao Kwa sababu bajeti haipangwi ya kutosha?Engine ya viwanda? Mbona hilo halijidhiirishi kwenye bajeti ya serikali? Tokea mwaka 2003 (Maputo Declaration) serikali za CCM zimeshindwa kutenga 10% ya bajeti kwenye kilimo, kama Azimio lilivyoagiza. Mwaka huu bajeti na disbursement ni aibu, huku bilioni 500 zikitengwa kununua ndege!!
Ningekuwa mimi, siyo kutohudhuria tu, ningejiuzulu kabisa uwaziri. Maana ni longolongo tu!Kwa hiyo hiyo ni sawa kwao kutohudhuria hicho kikao Kwa sababu bajeti haipangwi ya kutosha?
Huyu anataka akufukuze sio kujiuzulu maana hilo anaona kama umemdharau na lazima akuonyeshe cha mtema kuni kwa kukufatilianadhani wa kubadilisha utendaji ni hao walioteuliwa kama unaona huwezi basi unajiuzulu. Kiongozi ndio mwenye dira ya tunakokwenda. ingekuwa busara sana kama wangejiuzulu
wakiongea wanatumbuliwa mara waitwe wajinga na ameshasema hawamuelewi kasoro Majaliwa tu
...........sasa wao waseme nini?
Mkuu kwa January hapo kuna utata fulani.mambo ya ajabu kabisa. wapo wengi tu siwaoni siku hizi jenista mhagama januari makamba n.k
Mpina amesoma nini KILAZA tuNi ujinga wa hali ya juu Kwa Tizeba ambaye ni waziri wa Kilimo ambayo ndiyo Engine ya Viwanda na Biashara au Mpina waziri wa mifugo ambayo ni mingi mno imatafuta soko kushindwa kushiriki kikao kama kile. Nadhani wasomi wa Tanzania wanasoma kupata Vyeti
Ukiona mtu kama yule Luhanga Mpina yupo "busy" kwa John Pombe ujue kuna tatizo mana yule ni mmoja kati ya mawaziri waliokua na viherehere sana kutoka hadi alivokua naibu waziri mpaka akapandishwa cheo...Mahali pa kuwaonyesha na kutangaza Fursa waziri anakua busy? huo ni Upumbavu sasa, fursa kama hiyo ataipata wapi tena?
Kero za Biashara ktk sekta zao nani anajibu?