nimeshuhudia leo katika uwanja wa PR School Ngaresero CCM wakitukana na kusema Chadema wanamimba,Dr Slaa ana mimba na watajifungua tarehe 1 April...
Aliyesikia mengine tafadhari tuwajulishe Watanzania waone CCM hatua waliofikia sasa...
Nawasilisha...
nimeshuhudia leo katika uwanja wa PR School Ngaresero CCM wakitukana na kusema Chadema wanamimba,Dr Slaa ana mimba na watajifungua tarehe 1 April...
Aliyesikia mengine tafadhari tuwajulishe Watanzania waone CCM hatua waliofikia sasa...
Nawasilisha...
Ni kweli unayosema naona hata magazeti yanayoheshimika yameanza kuwageukanimeshuhudia leo katika uwanja wa PR School Ngaresero CCM wakitukana na kusema Chadema wanamimba,Dr Slaa ana mimba na watajifungua tarehe 1 April...
Aliyesikia mengine tafadhari tuwajulishe Watanzania waone CCM hatua waliofikia sasa...
Nawasilisha...
Wakati kampeni za Chadema zikiwa zinaongozwa na Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe, kwa upande waCCM, Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde ndiye aliyeonekana kung'ara jana.
Lakini tofauti na Mbowe, ambaye alikuwa akinadi sera muda mwingi, Lusinde alionekana kukishambulia Chadema kwa tuhuma mbalimbali.
Gazeti la Mwananchi.
Lema alikuwa anaku'gutwa kwa nyuma akiwa gerezani ndio maana alikuwa hataki kutoka - lusinde
Kweli huyu Lusinde kapinda kwikwi kwikwi kwikwi kwikwi kwikwi heeeeeeeeeeeeh!!!!!!!!
staili hii ya matusi na kashfa waliianza cdm sasa leo imegeuka kwao inakuwa nongwa. Jaribu kuwa makini ktk siasa mbinu zingine zaweza kukuangamiza mwenyewe. Cdm mmechokoza wenyewe sasa twendeni vivyo hivyo kama tutafika salama
Lema alikuwa anaku'gutwa kwa nyuma akiwa gerezani ndio maana alikuwa hataki kutoka - lusinde
uko timamu kweli?
nimeshuhudia leo katika uwanja wa PR School Ngaresero CCM wakitukana na kusema Chadema wanamimba,Dr Slaa ana mimba na watajifungua tarehe 1 April...
Aliyesikia mengine tafadhari tuwajulishe Watanzania waone CCM hatua waliofikia sasa...
Nawasilisha...