Baadhi ya maeneo yatakabiliwa na tatizo la maji kwa wiki 2, nashauri watu wasiende mjini mtakamatwa...

MakinikiA

JF-Expert Member
Jun 7, 2017
5,011
6,542
Kutokana na tamko la RC kwamba watu wachafu wasiende mjini wakati wa mkutano wa SADC, DAWASCO wao wametangaza baadhi ya maeneo kutakuwa na tatizo la maji kwa wiki mbili, inaelekea matamko siku hizi yanakwenda zig zag style
 
Sasa mkuu kama kuna hilafu kwenye mfumo wa maji imetokea na urekebishaji wake utachukua hizo wiki mbili wasitangaze?

Tunatakiwa tuwe tunatafakari kwa hii hatua nzuri ambayo sekta zetu zimeifikia ya kutangaza kama kuna tatizo limetokea.

Unafikiri hilo suala lingetokea halafu wakanyamaza kimya kwa muda huo wa wiki mbili watu wangelalamikaje?
Tuwapongeze tu kwa kuwatangazia wananchi ili wajipange bajeti ya maji, lakini siyo kuwalaumu.
 
Wasukuma wenzangu wa kitunda na gongolamboto msije mjini, vikwapa vinanukia vizuuuri kama beberu, bakini huko mpaka wageni wetu waondoke
 
Back
Top Bottom