RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,880
- 5,424
Kwa Mujibu wa Sensa mwaka huu 2012, baadhi ya Maeneo ya Kuwahesabu watu ,kutapelekwa Vikosi vya Polisi ili kulinda Usalama wa Makarani. Hii ni kutokana na Baadhi ya Makarani wa Sensa kulalamika kuwa Wanatishiwa na Baadhi ya Watu..
Ila Wakurugenzi na Wakuu wa Wilaya wamewatoa wasiwasi kwa kuwapatia Vikosi kasi vya kulinda usalama wao siku ya kuwahesabu watu na kuwahakikishia ZOEZI la kuhesabu watu litatimizwa kwa Amani na Kila Mtu atahesabiwa katika kaya yake.
SOURCE: MAFUNZO YA SENSA
Ila Wakurugenzi na Wakuu wa Wilaya wamewatoa wasiwasi kwa kuwapatia Vikosi kasi vya kulinda usalama wao siku ya kuwahesabu watu na kuwahakikishia ZOEZI la kuhesabu watu litatimizwa kwa Amani na Kila Mtu atahesabiwa katika kaya yake.
SOURCE: MAFUNZO YA SENSA