kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,887
Baadhi ya mitaa ya changanyikeni ni kama Ulaya.
Ukiwa hayo maeneo ukiambiwa upo Dar es Sallam utakataa pako kama Ulaya au unaweza kudhani upo maeneo fulani ya Arusha, Nairobi, Mbeya, Moshi au London.
Pana ukijani mzuri sana mazingira safi yanayovutia na yenye miti mingi na makazi ya kisasa.
Hapo ndo unaona umuhimu wa kupanda miti na kuufanya mji uwe wa kijani na miti mingi na mpangilio bora wa makazi sambamba na usafi wa mji.
Changanyikeni baadhi ya mitaa inavutia sana na inapendeza sana.
Ukiwa hayo maeneo ukiambiwa upo Dar es Sallam utakataa pako kama Ulaya au unaweza kudhani upo maeneo fulani ya Arusha, Nairobi, Mbeya, Moshi au London.
Pana ukijani mzuri sana mazingira safi yanayovutia na yenye miti mingi na makazi ya kisasa.
Hapo ndo unaona umuhimu wa kupanda miti na kuufanya mji uwe wa kijani na miti mingi na mpangilio bora wa makazi sambamba na usafi wa mji.
Changanyikeni baadhi ya mitaa inavutia sana na inapendeza sana.