Jongwe
JF-Expert Member
- Apr 25, 2008
- 1,039
- 659
Baadhi ya mabweni ya wanafunzi wa shule ya Marian Boys yametekea kwa moto siku ya Jumanne tarehe 3 November 2019. Inasemekana mabweni ya wanafunzi wa kidato cha 5 na 6 ndio yaliyoathirika. Habari njema hakuna mwanafunzi aliyeumia, japo mabweni na mali za wanafunzi wa mabweni hayo ndio vimeteketea. Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana.