Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
Jamani nimekuwa na mawazo mengi sana kuhusu huu ushoga; kidogo inasumbua kuelewa kuna sehemu kwenye maviwand amakubwa ama makampuni makubwa yanayoheshimika yakiongozwa na mashoga tena kwenye post kubwa kabisa;
Nimekuwa nikiuliza walitumia shule ama vitega uchumi vyao kuingia maofisini, nimewiwa hivi kuna mmoja yupo huku mbezi beach, anafanya ZANTEL yuko kwenye kampuni nzuri cha ajabu ana hela zake ameridhika ,na ana mke wake swali anafanya kujiridhisha ama ni laana ama kiduduwasha waswahili
tusemavyo;
Yupo mwingine pale DT DOBBIE ana shule yake nzuri tena alwatana hapa mjini lakini inasikitisha kwa hili, nimeshindwa kuwataja nikijaribu kuona maoni je soln ya wao kuachana ni kutajwa majina adharani ama.
Kwa wanaojua walioko maofisini embu tusaidiane kuwatambua mahali hapa pengine twaweza kuwasaidia
USHOGA MWIKO DAIMA
Nimekuwa nikiuliza walitumia shule ama vitega uchumi vyao kuingia maofisini, nimewiwa hivi kuna mmoja yupo huku mbezi beach, anafanya ZANTEL yuko kwenye kampuni nzuri cha ajabu ana hela zake ameridhika ,na ana mke wake swali anafanya kujiridhisha ama ni laana ama kiduduwasha waswahili
tusemavyo;
Yupo mwingine pale DT DOBBIE ana shule yake nzuri tena alwatana hapa mjini lakini inasikitisha kwa hili, nimeshindwa kuwataja nikijaribu kuona maoni je soln ya wao kuachana ni kutajwa majina adharani ama.
Kwa wanaojua walioko maofisini embu tusaidiane kuwatambua mahali hapa pengine twaweza kuwasaidia
USHOGA MWIKO DAIMA